Asante sana dear .aletuya ushauri mzuri huu ufuate
Asante sana dear .aletuya ushauri mzuri huu ufuate
Hakuna ambae hasemi wenzie humu sema ogopa Ndumilakuwili anaeng'ata na kupuliza Yani mmeongea kuhusu fulani anayabeba kumpelekea kama yalivo! Kama Unakumbuka selfika kabla ya kuvamiwa tulikua peace sana angalia sasahivi utaelewa ninachoongea!Asante sana nashukuru sana kipenzi
I appreciate your advice too .
Inatakiwa umaskini sana humu
Unaweza kutumika vibaya bila kujua .
Pia wale wanasema vibaya wenzao huko pm . Ila Jf ni 🔥
🙏🏿🙏🏿
ThawaAsante sana dear .
Ni kweli kabisa Yani ulikuwa mzuri sana . Sema ukaanzq kuvurugika taratibu .Hakuna ambae hasemi wenzie humu sema ogopa Ndumilakuwili anaeng'ata na kupuliza! Kama Unakumbuka selfika kabla ya kuvamiwa tulikua peace sana angalia sasahivi utaelewa ninachoongea!
Tuendelee tutupia mamy!
Imenipita jamani naomba urudiee uubles mchana wangu pulllllllliiiiiiiiizzzzz!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Hapo Tin anajichosha tu nakwambia kesho tena yataongelewa hayahayaa vitu vile vile miaka nenda rudi ni ujinga ujinga tu!!Yani ni kuwaangalia tu kama kideo na vichwa vyao kama amira.
Ni mbaya sana yani sasa wee jichanganye ! Anayapeleka kama yalivo nakusumbua watu wapo na mambo yao huko kutaka kurudisha vitu vishaisha muda mrefu!Ni kweli kabisa Yani ulikuwa mzuri sana . Sema ukaanzq kuvurugika taratibu .
Huyo na anaengata na kupuuliza ni mbaya sana maana ukitoka tu ni anakusema Tena wazi wazi .
Sahihi sanaNi mbaya sana yani sasa wee jichanganye ! Anayapeleka kama yalivo nakusumbua watu wapo na mambo yao huko kutaka kurudisha vitu vishaisha muda mrefu!
Yani kazi kweli ccy🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Hapo Tin anajichosha tu nakwambia kesho tena yataongelewa hayahayaa vitu vile vile miaka nenda rudi ni ujinga ujinga tu!!
Eeh jamani 😂😂Umenenepaaa sana lol shingoo iko so hooottt 🔥🔥🔥!! Hapo ni kupitishwa ulimi tuuuuu auweeee😍😍😍😍
Nougaaa sanaa mamy!
Mkuu hiyo pic ilinistua maana huyo ni jamaa yangu aisee, umefanya niangalie na pic zingine ulizoweka hapa.Heshima yako kaka
njoo pm kaka
![]()
Sahihi sana
Utaita maji mma kama Mimi 😂😂
Namaliza kwa yaliyopita hapo chini
I apologize kwenye hayo maneno ikiwa nilikusema pia ..
Maana nilisoma huku siku nikaona nilikuwa naonea watu wivu kwenye vocha wanazopewa . Jamani samahani sana kwa hao watu pia .
Ila Jf ukiomba msamaha hivi unaonekana weak au unajitilisha huruma jamani wakati unafanya tu vile moyo wataka .
Asante dear.Mi hata nikikondaga bado inajikata sema nikinenepaga Ndio inakua tamu zaidi 🤠!Eeh jamani 😂😂
Shingo ukinenepa na yenyewe imo 😂
Wewe pia una shingo nzuri sana unavaaga cheni ?
Daah jamaa umezingua aisee, hizi ni pic zake za kitambo sanaView attachment 2912888
11:00 pm now karibu kahawa
Amina na uwe hivyo .Katika lile Mimi sina tatizo kabisa yalopita yamepita..
We want ile selfika ya amani na upendo wa agape tulokua nayo tunacheka tunafurahi masaa yanasogea kila mmoja anaenda pambana na shida zake offline!
Ndiomana sasahivi watu hata wanaogopa kuselfika Sababu ya ujinga ujinga wa wachache!
Selfikaaaa mafoto kwakwenda mbeleeee
Daah mkuu hii sio poa, hizi ni pic zake jamaa za muda mrefu sana. Nilikua sijaona hii huwa siingiagi huku sana, Ila nimeshajua ulipozitoa. Sio poa kabisa
Yeah ukinenepa ndo inazidi kuwa nene .Asante dear.Mi hata nikikondaga bado inajikata sema nikinenepaga Ndio inakuaje tamu zaidi 🤠!
Cheni mara moja moja navaaga
Amina na uwe hivyo .
Uzi Fulani hivi uliotulia , Hauna maneno .
Yeah kwa kweli hofu imekuwa kubwa mno ..
Shukrani sana Bossledi. 🙏🏿🙏🏿