Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Eeeeee aloooooo
Qmanina zenu bado hamjasema
Sema hebu tulia usinifanye niyamwage kweli wakati sikuwa na mpango huo..!!!
Kumbe kimekuuma kupotezewa??
Ndio ujifunze kuishi na watu, nyang’au wee!!
Mimi bana siogopi kusemwa sababu hakuna anayenijua humu, labda huyo Kantry
Sasa mtu kujifanya uduguu wangu alafu bin vuuup unabadili id unakuja kunichamba hiyo ndio sipendi..!!!
Ww km umeamua kujivika mabomu njoo na id yako tuliozoeana unichambe unavyotaka….
Huo undumilakuwili ni wako mahi uduguu kunjifanya shosti baadae unakuja na id’s za majina ya kiume kunisema huo ndio tunauita uoga…..
Sema nini hata sijafumbua mdomo wangu siri zako zote zipo salama ila ukijifanya chizi nayamwaga
Uduguu usinikaushe kizazi na moyo, kifua kimetuna ntapata pressure ya ghafla bureee.

Naombaa umwage huu ubuyuu hapa, sioni km natoboa bila kuumumunya usiku huu, fanyaa kuuweka hapaaa.

Unajua napenda umbea kuliko kulaa, nionee huruma uduguu ako,
Mbona kumekuchaaaaa tenaaa hapaaaa, woiiiiiiih
 
Kipenzi yashaisha hayo
Mie mwenyewe mkosefu katika hili .. na sio innocent.

Mengine nishafuta kwenye ubongo na kuchoka huku ndo kabisa

let bygones be bygones .
Wee hebu tujuzee bhanaaa, yaan natamanii ufunguke mwa mwiii, nipatee ubuyuu ulokamilika.
Mnauleta mdo mdo, bas wambea tunabaki kuugulia na kiu ya kuujua.

Fanyaa kuumwagaa wotee hapaaa,
 
Wee hebu tujuzee bhanaaa, yaan natamanii ufunguke mwa mwiii, nipatee ubuyuu ulokamilika.
Mnauleta mdo mdo, bas wambea tunabaki kuugulia na kiu ya kuujua.

Fanyaa kuumwagaa wotee hapaaa,
Ah sitaki kufukua mambo mie
Nisije chambwa Tena 😂😂

Naishia hapo hapo tu .

Mimi niliingiwa na pepo la umbeya na limeshatoka tayari 😂😂 .
 
Ah sitaki kufukua mambo mie
Nisije chambwa Tena

Naishia hapo hapo tu .

Mimi niliingiwa na pepo la umbeya na limeshatoka tayari .
yaan hapo ndo unafeliii tin, pepo la umbea linakutokaje haraka na ghaflaa hiviii??

Hebu fanya kulazimisha li rudi mara 1, litupatie wambea ile kitu roho inapendaaa.
 
nimecheka had machoziiii.
Wee weka, ita trend tyuuh, ubuyu mda c badoo?
Alafu naomba unifafanulie kitu; nimerudi Jf nakutana na mastar wenye id mpya wengi sana.

Mfano Lamomy anatrend kweli kweli,alafu Kuna aletuya . Hebu nambie Majina ya IDs zao za zamani nisije kuyakanyaga siku namwibukia mtu pm ahahaha. Tuanze na hawa wawili,mwaka mmoja uliopita kipindi sipo walijiitaje?
 
Back
Top Bottom