Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Uwe unavaa sis Tena saivi uvonenepa na shingo ivojikata utapendeza zaidiNimetobolewa nikiwa chekechea ccy, cheni labda nije nijaribu tena
Uwe unavaa sis Tena saivi uvonenepa na shingo ivojikata utapendeza zaidiNimetobolewa nikiwa chekechea ccy, cheni labda nije nijaribu tena
Poapoa kipenziHaya usitoke .
Uduguu usinikaushe kizazi na moyo, kifua kimetuna ntapata pressure ya ghafla bureee.Eeeeee aloooooo
Qmanina zenu bado hamjasema
Sema hebu tulia usinifanye niyamwage kweli wakati sikuwa na mpango huo..!!!
Kumbe kimekuuma kupotezewa??
Ndio ujifunze kuishi na watu, nyang’au wee!!
Mimi bana siogopi kusemwa sababu hakuna anayenijua humu, labda huyo Kantry
Sasa mtu kujifanya uduguu wangu alafu bin vuuup unabadili id unakuja kunichamba hiyo ndio sipendi..!!!
Ww km umeamua kujivika mabomu njoo na id yako tuliozoeana unichambe unavyotaka….
Huo undumilakuwili ni wako mahi uduguu kunjifanya shosti baadae unakuja na id’s za majina ya kiume kunisema huo ndio tunauita uoga…..
Sema nini hata sijafumbua mdomo wangu siri zako zote zipo salama ila ukijifanya chizi nayamwaga![]()







Jirani kaenda kuvaa taiti leo kazi ipo😁😁Kumeshakuchaaa hapa tayariiii![]()
Hapa Kuna vita inanukia.
Ngoja niagize popcorns.. Oya Binti cheupe cocastic na mrembo wangu Saint Anne ,zoezi la picha tughailishe kwa usiku huu kwanza,Kuna dharula.



kwani nawee unapendaa ubuyu daktareee?? Mbona sitaki kuaminiiii etiii?Wee hebu tujuzee bhanaaa, yaan natamanii ufunguke mwa mwiii, nipatee ubuyuu ulokamilika.Kipenzi yashaisha hayo
Mie mwenyewe mkosefu katika hili .. na sio innocent.
Mengine nishafuta kwenye ubongo na kuchoka huku ndo kabisa
let bygones be bygones .




Sema hii ni Mara 4, una question royalty yangu 🙄😀Nakujua kwa nini nisifahamu hilo 😁
It's not about kupenda ubuyu.kwani nawee unapendaa ubuyu daktareee?? Mbona sitaki kuaminiiii etiii?
Ah sitaki kufukua mambo mieWee hebu tujuzee bhanaaa, yaan natamanii ufunguke mwa mwiii, nipatee ubuyuu ulokamilika.
Mnauleta mdo mdo, bas wambea tunabaki kuugulia na kiu ya kuujua.
Fanyaa kuumwagaa wotee hapaaa,
Mbona unapendeza sana tu zinakutoa vizuri kumbe uwe unavaa! Umependeza sana!Hereni yenyewe Sasa .
Jirani kaenda kuvaa taiti leo kazi ipo![]()



namsubiri kwa hamu uduguu anguu, afu hana jambo dogo sasa.Watu Wana wivu na vitu vidogo vidogo sana.hawatakii niitwe cheupee.
Woiiiiiih,
Sema napotezaMbona unapendeza sana tu zinakutoa vizuri kumbe uwe unavaa! Umependeza sana!
Namaanisha ukiona hivyo😁Sema hii ni Mara 4, una question royalty yangu 🙄😀
Inshu
It's not about kupenda ubuyu.
Tatizo ni ishu ya trending. nikipost picha haitatrend coz watu wako bize na ubuyu hahaha.



nimecheka had machoziiii.Ah sitaki kufukua mambo mie
Nisije chambwa Tena
Naishia hapo hapo tu .
Mimi niliingiwa na pepo la umbeya na limeshatoka tayari.




yaan hapo ndo unafeliii tin, pepo la umbea linakutokaje haraka na ghaflaa hiviii??Leo niwe lefa kwenye huu uzi😁😁namsubiri kwa hamu uduguu anguu, afu hana jambo dogo sasa.
Alafu naomba unifafanulie kitu; nimerudi Jf nakutana na mastar wenye id mpya wengi sana.nimecheka had machoziiii.
Wee weka, ita trend tyuuh, ubuyu mda c badoo?