Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Eeeeee aloooooo 👌
Qmanina zenu bado hamjasema 😂😂😂😂
Sema hebu tulia usinifanye niyamwage kweli wakati sikuwa na mpango huo..!!!
Kumbe kimekuuma kupotezewa??
Ndio ujifunze kuishi na watu, nyang’au wee!!
Mimi bana siogopi kusemwa sababu hakuna anayenijua humu, labda huyo Kantry
Sasa mtu kujifanya uduguu wangu alafu bin vuuup unabadili id unakuja kunichamba hiyo ndio sipendi..!!!
Ww km umeamua kujivika mabomu njoo na id yako tuliozoeana unichambe unavyotaka….
Huo undumilakuwili ni wako mahi uduguu kunjifanya shosti baadae unakuja na id’s za majina ya kiume kunisema huo ndio tunauita uoga….. 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
Sema nini hata sijafumbua mdomo wangu siri zako zote zipo salama ila ukijifanya chizi nayamwaga 😂😂😂😂😂😂
😁😁😁Za asubuhi jirani 😁😁😁
 
Eeeeee aloooooo 👌
Qmanina zenu bado hamjasema 😂😂😂😂
Sema hebu tulia usinifanye niyamwage kweli wakati sikuwa na mpango huo..!!!
Kumbe kimekuuma kupotezewa??
Ndio ujifunze kuishi na watu, nyang’au wee!!
Mimi bana siogopi kusemwa sababu hakuna anayenijua humu, labda huyo Kantry
Sasa mtu kujifanya uduguu wangu alafu bin vuuup unabadili id unakuja kunichamba hiyo ndio sipendi..!!!
Ww km umeamua kujivika mabomu njoo na id yako tuliozoeana unichambe unavyotaka….
Huo undumilakuwili ni wako mahi uduguu kunjifanya shosti baadae unakuja na id’s za majina ya kiume kunisema huo ndio tunauita uoga….. 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
Sema nini hata sijafumbua mdomo wangu siri zako zote zipo salama ila ukijifanya chizi nayamwaga 😂😂😂😂😂😂
Hapa Kuna vita inanukia.

Ngoja niagize popcorns.. Oya Binti cheupe cocastic na mrembo wangu Saint Anne ,zoezi la picha tughailishe kwa usiku huu kwanza,Kuna dharula.
 
Mnapendeza na ujasiri mnao nakumbuka nilivaa sababu Ilikuwa zawadi ilinitesa sana nahangaika kushtuka shtuka nikajua mdudu ananitembea shingoni 😂😂😂
Mwishowangu hereni
Mkopoa lakin
Mi navaaga mara moja moja sana hayo mavitu sina hobby nayo kiviiile! Hebu tuone ukivaa unavopendeza
 
wee Tin hebu tujuze sie ya huko PM
ambayo Rab kayaleta hapa, usiogopee tuambiee.
Napenda ubuyuu mie balaaa
Kipenzi yashaisha hayo
Mie mwenyewe mkosefu katika hili .. na sio innocent.

Mengine nishafuta kwenye ubongo na kuchoka huku ndo kabisa

let bygones be bygones .
 
Back
Top Bottom