Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We jamaa kwa kupenda kulia😂
Yanga jana tumeshinda
Liverpool leo bado kombe bichi la motoooo
Ila unalia bado
Narudi nyumbani narudi kwenye shida ya umeme narudi mahali kwenye joto kalii sana narudi home kigamboni nimefika moroco hapa nasubiria Turkish airlines inipeleke bongo moya kwa moya 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
View attachment 2916450
 
1&1=2
 

Attachments

  • IMG_20240225_173637_761.jpg
    IMG_20240225_173637_761.jpg
    2.4 MB · Views: 2
  • IMG_20240225_191505_190.jpg
    IMG_20240225_191505_190.jpg
    3.2 MB · Views: 2
😂😂😂 Vijana huyu beki kawauza inaonekana kakata tamaa, vibabu vinaendelea kujiokotea point za buree na mabinti wamegoma kupewa afu tatu…. Namuona kijana kaachia goli babu afunge goaaaaaaalllll

Vibabu 2-Vijana 0
Haya mpira unaendelea Half american anatoa pasi ya 5k naona babu Grahams anaizuia kwa 20k fasta…. Namna gani paleeeee 😂😂😂😂
Nini kinaendelea jirani 😅
 
Back
Top Bottom