Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lamomy uduguuu uko wapiiii nna jamboo nataka nikupeee, cna kifua hicho cha kuhifadhiiii.
Hebu fanyaa ukujee hukuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We Baba njoo
Njoo uone nchi ilivyobadilika

Tz ya leo
Giza totoro
 

Attachments

  • Screenshot_20240223-120744_2.jpg
    Screenshot_20240223-120744_2.jpg
    120.2 KB · Views: 6
Lamomy uduguuu uko wapiiii nna jamboo nataka nikupeee, cna kifua hicho cha kuhifadhiiii.
Hebu fanyaa ukujee hukuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uduguu nimefika japo kwa kuchelewa, nilikuwa safarini leo…
Hapa nimeweka mabegi mbio mbio nije huku nione kuna mupya gani.??
Haya lete ubuyu huo 😋😋😋
Na kwann ukae na umbea uduguu wangu ukunyonge bureee wakati mi nipo wa kukusaidia kumumunya 😂😂😂😂😂
 
Jumatatu naenda kujaza fomu mkopo kausha damu....😂😂😂 Udugu haiwezi kupata tabu Mie nipo
Oyoooooooo.!!! Wifi la dunia 😍😍😍😍
Huna baya na mtoto nikizaa wa kike nampa jina la aunt yake Mammy K 😂😂😂😂
 
Hahaha nimecheka kinoma
Endelea kunitunzia tu.

Very soon narudi mchuchu.
😂😂😂 Weee kaa kwa kutulia, mwenzio nishatolewa mahari japo kwa mbinde sana na bwana harusi….
Umechelewa kalamu imeshaliwa 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom