cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Shingoooo


Unyweleee, uko vizureee mama p.
Shingoooo


Asante mwayaaa..Shingoooo
Unyweleee, uko vizureee mama p.
Umenitenga sanaaaaaaShingoooo
Unyweleee, uko vizureee mama p.
Mchoyo mbona hatukuona sisiYani Dr chakula kimeiva lakini kimenishinda kula🥺niliwakaribisha mkakataa😌
Wacha wee uko italianooo? Haya bhana usisahau kuniletea divai.
Afu huko ni SAA ngapi sahivi?
Mbonaa nipoo mie, wee ndo umenisusaa dear.Umenitenga sanaaaaaa
Ahsanteeee sanaaa.View attachment 2912888
11:00 pm now karibu kahawa
Mambo ya Italy hayo.
Mwenyejii uko vizureee mnoo, 😘😘
Kuna nyie wataalamu wa mapishi halafu kuna sisi tunaopika kama walaji wenye njaa.Basi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban 😁tangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.😳kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namna😁
Na hiki ndicho ninachokipika muda huu🥰
Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea 😁View attachment 2912635
uncle Dereva mambo ya wine ni ya wazungu hayo siyajuagi😎labda unifundishe😁
Nasikia glass ya Chardonnay will work perfectly uncle Dereva 😉
Wifi mtu nitakuja na kundi la vyura kutoka Chanika, na vijora vyetu vya mpasuo.Vijora pambeee viko oledee, tarumbeta na vigoma kutoka vikindu nshaandaa,
Shughuri itamalizwa na kikundi kutoka kitunda mwana gatiii
Sherehe imepata mshereheshajiii,![]()
Jumatatu naenda kujaza fomu mkopo kausha damu....😂😂😂 Udugu haiwezi kupata tabu Mie nipo😂😂😂 Uliona wapi ndugu wa kikeni akakuchangia mahari?? Hapo ww muite ndugu yako mshamba_hachekwi akusaidie na dada yako Mamy K na Carleen 😂😂😂😂
Nipo UyoleWapi nikamate boda nije.