Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Hajui nini? Si alishakataaga?Usiseme sana basi nawewe, Namsubiri arudi tu na vile hawajuagi kukataa. tugawane ration 🤣 🤣 🤣 🤣
Yote kwa yote,, Kima wewe 😂😂😂
Hajui nini? Si alishakataaga?Usiseme sana basi nawewe, Namsubiri arudi tu na vile hawajuagi kukataa. tugawane ration 🤣 🤣 🤣 🤣
Aikoooh 🤪 🤪 Sendoff nyoko, labda uji sendgero mwenyewe. mzaa chema akawindwe sasa, Hongera kwa kuyakanyaga🤣🤣🤣🤣🤣Third home huko ❤️ wakishanisend OFF
😂😂😂😂!!
Una bahati hapa sio PM. Ningekusuuza na kiswahili kikali 🤣🤣😏😏😏Aikoooh 🤪 🤪 Sendoff nyoko, labda uji sendgero mwenyewe. mzaa chema akawindwe sasa, Hongera kwa kuyakanyaga🤣🤣🤣🤣🤣
Yan weweAikoooh 🤪 🤪 Sendoff nyoko, labda uji sendgero mwenyewe. mzaa chema akawindwe sasa, Hongera kwa kuyakanyaga🤣🤣🤣🤣🤣
Yupo atakua na fekero jingine mpenda kuwinda yule kama simba jike 🤣 🤣 🤣 🤣😆😆😆 ajue asijue, file halituhusu.
BTW, mpigie Word. Arudi Jf, tumemmiss 🤣🤣🤣🤣
Tumeitangaza amani lakini. right? Au ndo umenifichia mapanga?Una bahati hapa sio PM. Ningekusuuza na kiswahili kikali 🤣🤣😏😏😏
Wewe na mm amani wapi na wapi?Tumeitangaza amani lakini. right? Au ndo umenifichia mapanga
😂😂 dah! Si akuone basi unavyomshit hivi akuwashie moto?Yupo atakua na fekero jingine mpenda kuwinda yule kama simba jike 🤣 🤣 🤣 🤣
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 kwa muda tu wa Kipindi cha toba please, kwanini hatuelewani komwe, halafu usione najishusha sana kwako nitamtag akuone unavyojiuzaWewe na mm amani wapi na wapi?
Mapanga yako nyuma ya mlango
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 kwa muda tu wa Kipindi cha toba please, kwanini hatuelewani komwe, halafu usione najishusha sana kwako nitamtag akuone unavyojiuza
New member amewabless mshindwe wenyewe kumfanya expert member...hahhaahah
Kam kauwaaa kam dauwaaaa.. ✌️Hasimu jana nilipitwa na foto yako do the needful 🤳 one time pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Aikooooooh utanisamehe ukijua the struggle is real and alive. 🥳 i know him in pint sized he's silly billy brutal🤣. Utaona, kwanza kunasehemu nimeona mwandiko wako nijazie A4 Sio wewe PMKeep moving 🤣🤣🤣
Ila nakuhakikishia hutoboi. Suala la wewe kujishusha ni unkwepable, hata ujikaze vipi.
Nilipo-italic sikusamehi leo wala kesho.
New member amewabless mshindwe wenyewe kumfanya expert member...hahhaahah
Si nimesema nimezima gari au? Nimelock na handbrake, haisogei popote.Aikooooooh utanisamehe ukijua the struggle is real and alive. 🥳 i know him in pint sized he's silly billy brutal🤣. Utaona, kwanza kunasehemu nimeona mwandiko wako nijazie A4 Sio wewe PM
Nimemeza rozari kwa sasa, Acha niwe Sukari 🤣 .. in Wakufunzi wa JKT Mujibu VoiceSi nimesema nimezima gari au? Nimelock na handbrake, haisogei popote.
Pm siji 🤣🤣
Labda uanze kuandika ulichoona
Utoe desa
sifa adui aongeleshwe lugha yake, utasema yote. ByeNimemeza rozari kwa sasa, Acha niwe Sukari 🤣 .. in Wakufunzi wa JKT Mujibu Voice