Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,971
- 26,956
kaa hapo hapo nikublessππππ na ndo tunaamka uko wapi??
Hebu nibless kwanza na foto
kaa hapo hapo nikublessππππ na ndo tunaamka uko wapi??
Hebu nibless kwanza na foto
Mwaka huu naloPole sana πππππ
ππππ fanya mambo mahi dihakaa hapo hapo nikubless
Nishakubless mbona ππππππ fanya mambo mahi diha
ππππ location nzuri
Tatizo umbea mwingi mpk nimepitwa π€£π€£π€£Nishakubless mbona ππ
Usinicheke lkn maana mhhhhh.ππππ location nzuri
Haya geuza camera bathiiiii kuna kitu unakificha bana π₯Ή
ππππ Pole utapata mwingineMwaka huu nalo
Mimi sikucheki bana, kwanza ww ni super tall wifi yangu ππππUsinicheke lkn maana mhhhhh.
πππππShida hii picha bn macho yameshakwivaMimi sikucheki bana, kwanza ww ni super tall wifi yangu ππππ
Halafu mpk leo sijawahi kujua ulikuwa unaniita wifi kwa nani??? π€£π€£π€£
Weeee!! Kumbe?? ππππKwa Mjep
Alafu me sio mrefu nalingana urefu na Mahondaw kabisa.
Weka bana ndio nzuri hiyo, unakula week end kwa raha zako mahi ππππππππShida hii picha bn macho yameshakwiva
Achaneni navyo mtapata vipya from UturukiπππWeeee!! Kumbe?? ππππ
Huyo shemeji yangu kwa coca bana
Sema huyo kaka ako katuudhi, kuna vyombo vyetu vilinunuliwa havijafika kwa bi mkubwa coca π€£π€£π€£
Kesho naweka mafuta kirikuu tunavifata
Weeeee hatutakiiiii πππAchaneni navyo mtapata vipya from Uturukiπππ
πππππ uko msupuuuu mahi
Achana navyo hivoWeeeee hatutakiiiii πππ
Nishakodi tarumbeta la kwenda kufatia vyombo πππ
Sawa mama zamu yakoπππππ uko msupuuuu mahi
Kamwanya sasa ππ
Nyie jf kuna visu no filter, no black and white
Kitu og kabisaaaa awwww π₯°π₯°π₯°
Weee mahi una hatareeee ππππππ