Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa najiuliza wake au waume zao wa ukweli huko majumbani wanajua, watu wao njegeka wanazokutana nazo humu?

Wangewaonea huruma haswaaa.
😂😂😂😂😂😂 wanatuiga mabachela
Huku wanabebishwa kumbe huko mibaba na mimama ya watoto na jioni wakirudi wanaamkiwa shikamoo mama/baba
Huku sasa wohiiii 🤣🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanatuiga mabachela
Huku wanabebishwa kumbe huko mibaba na mimama ya watoto na jioni wakirudi wanaamkiwa shikamoo mama/baba
Huku sasa wohiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan fulll tafraniiii.
 
Hadi wang’oane mbupu au kimisi wao tyuuu!!
Kikubwa sie wambea tupate ubuyu kwa wakati [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan uduguu, mie huku mbavu zinauma kwa kucheka.
 
Kila nikifumba macho nasikia lalalalalelele sate sauzand.
unashindwa kwenda kumkumbatia Mjep huko na hili baridi.
Wifi wifi tusitafutane ubaya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa njegeka alizofanya, hata hamu ya kumkumbatia nnayo bas? Atakumbatiwa na wengine.
Hata hao anao wapa sate sauzand.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wee mtani acha uongo wako hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uko wapi sasa?
20240223_003633.jpg

Italy
 
Back
Top Bottom