Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wanacheka huku wanashika bichwa dogo la chini aiseeee!!!
Wawape burudani wagombane sie tufurahi km hivi.!!!
Kabisaa maana ndoa humu zimeshindikana kabisa kutokea zaidi ya vijembe na mafumbo kwa walioshea hogoooπŸ’πŸ’
 
Huu uzi kama una ibilisi bin shetani maana vyanzo vyote vya bifu huanzia uzi huu unahitaji upako si bure
huu uzi ni wa ntenteme ntenteme, kudolishiana mibarikio inayochachafya kaka zako wa humu.
Bas bifu linaanza hapo
 
Kabisaa maana ndoa humu zimeshindikana kabisa kutokea zaidi ya vijembe na mafumbo kwa walioshea hogoooπŸ’πŸ’
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ndoa mchezo??
Humu ni kuchachuana tyuu!! Ndoa zitafungwaje na watu tyr wameoa na kuolewa
 
huwa najiuliza wake au waume zao wa ukweli huko majumbani wanajua, watu wao njegeka wanazokutana nazo humu?

Wangewaonea huruma haswaaa.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wanatuiga mabachela
Huku wanabebishwa kumbe huko mibaba na mimama ya watoto na jioni wakirudi wanaamkiwa shikamoo mama/baba
Huku sasa wohiiii 🀣🀣🀣
 
Back
Top Bottom