Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Basi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban 😁tangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.😳kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namna😁
Na hiki ndicho ninachokipika muda huu🥰

Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea 😁View attachment 2912635
Sawa sawa
 
Maana nyie kila leo mnagombea mhogo wa nyama,hii vita itaisha kweli humu🐒🐒
Muhogo wa jang’ombe sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo 😂😂😂
Muhogo mtamu ww hafu uwe wa kugombania sasa 🤣🤣🤣🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Muhogo wa jang’ombe sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo 😂😂😂
Muhogo mtamu ww hafu uwe wa kugombania sasa 🤣🤣🤣🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
Hao kaka zangu wanao mix bebezii za humu kama nawaona huko wanachekea chooni😁😁
 
Back
Top Bottom