Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,946
😂😂😂😂😂 selemani mtoto wa Side mnyamwezi, babu yake mtoto Iddy wa Juma naturembona km una laana seleee, aaah seleee,
Unatafuta lawama seleee, aaah seleee.
😂😂😂😂😂 selemani mtoto wa Side mnyamwezi, babu yake mtoto Iddy wa Juma naturembona km una laana seleee, aaah seleee,
Unatafuta lawama seleee, aaah seleee.
Sawa sawaBasi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban 😁tangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.😳kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namna😁
Na hiki ndicho ninachokipika muda huu🥰
Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea 😁View attachment 2912635
Maana nyie kila leo mnagombea mhogo wa nyama,hii vita itaisha kweli humu🐒🐒Na usipofungwa, hautakiwiii kupoaaa huu, yatakua matumizi mabaya ya uzi.
![]()
😍😍😍😍 Kaka mkinga ushanichanganya ujue na huo mkaratasiHapo vipi,nimependeza?
Muhogo wa jang’ombe sijaulamba mwikoMaana nyie kila leo mnagombea mhogo wa nyama,hii vita itaisha kweli humu🐒🐒
uncle Dereva mambo ya wine ni ya wazungu hayo siyajuagi😎labda unifundishe😁Aunty abiria una vidole vizuri vya kubebea glass ya wine 😍
Blaza ukianzaga uchokozi hupumziki😁😁Watu nane umeonyeshwa chakula chief
Usiangalie vingine utasabisha aunt yako asituonyeshe vitu vizuri
😂😂😂 Tunataka vyombo vyetualetee vyomboo, maana hata kwa mnangaji havipo, sasa kapeleka wapiiiii?
Hiyo picha tu nimekutana nayo kwa barabara wakati natembea, anatafutwa nami nikaiweka kama kumbukumbu nikimuona ni report.😍😍😍😍 Kaka mkinga ushanichanganya ujue na huo mkaratasi
HahahahahaAunty abiria una vidole vizuri vya kubebea glass ya wine 😍
Hao kaka zangu wanao mix bebezii za humu kama nawaona huko wanachekea chooni😁😁Muhogo wa jang’ombe sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo 😂😂😂
Muhogo mtamu ww hafu uwe wa kugombania sasa 🤣🤣🤣🤸♀️🤸♀️🤸♀️
😁😁😁😁poleHata kunikaribisha..hahahahaha
App natumia inazingua balaaa,S
simu yako inashida kipenzisamaki mchemsho




selemani mtoto wa Side mnyamwezi, babu yake mtoto Iddy wa Juma nature




noumaaaahHahahaha..sie wengine hatuna zali, nishapoa😁😁😁😁pole
😂😂😂😂😂 Wanacheka huku wanashika bichwa dogo la chini aiseeee!!!Hao kaka zangu wanao mix bebezii za humu kama nawaona huko wanachekea chooni😁😁
😂😂😂😂 hatareeeenoumaaaah
Maana nyie kila leo mnagombea mhogo wa nyama,hii vita itaisha kweli humu![]()



iishe kwa kipiii? Hadi huo muhogo wa nyamaa ukatike na usisimame tena milele.Muhogo wa jang’ombe sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
Muhogo mtamu ww hafu uwe wa kugombania sasa![]()




uduguuu wee.Akatoe huko alikoweka, atuletee hapa, tena ndo ntakutunza siku ya harusi.Tunataka vyombo vyetu




