Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,339
- 95,719
Hata kunikaribisha..hahahahahaNiko pekee yangu😁😁hii mboga ni hadi Kesho usiku sio leo tu😁😁chakusikitisha chakula kimeiva nimeshindwa kula.only nyanyachungu na maji yakunywa🥺🥺
Hata kunikaribisha..hahahahahaNiko pekee yangu😁😁hii mboga ni hadi Kesho usiku sio leo tu😁😁chakusikitisha chakula kimeiva nimeshindwa kula.only nyanyachungu na maji yakunywa🥺🥺
simu yako inashida kipenzi😁😁samaki mchemshoSioni pichaa,
Unapika nn chibongeee?? [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂 selemani mtoto wa Side mnyamwezi, babu yake mtoto Iddy wa Juma nature[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona km una laana seleee, aaah seleee,
Unatafuta lawama seleee, aaah seleee.
Sawa sawaBasi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban 😁tangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.😳kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namna😁
Na hiki ndicho ninachokipika muda huu🥰
Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea 😁View attachment 2912635
Maana nyie kila leo mnagombea mhogo wa nyama,hii vita itaisha kweli humu🐒🐒Na usipofungwa, hautakiwiii kupoaaa huu, yatakua matumizi mabaya ya uzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😍😍😍😍 Kaka mkinga ushanichanganya ujue na huo mkaratasiHapo vipi,nimependeza?
Muhogo wa jang’ombe sijaulamba mwikoMaana nyie kila leo mnagombea mhogo wa nyama,hii vita itaisha kweli humu🐒🐒
uncle Dereva mambo ya wine ni ya wazungu hayo siyajuagi😎labda unifundishe😁Aunty abiria una vidole vizuri vya kubebea glass ya wine 😍
Blaza ukianzaga uchokozi hupumziki😁😁Watu nane umeonyeshwa chakula chief
Usiangalie vingine utasabisha aunt yako asituonyeshe vitu vizuri
😂😂😂 Tunataka vyombo vyetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aletee vyomboo, maana hata kwa mnangaji havipo, sasa kapeleka wapiiiii?
Hiyo picha tu nimekutana nayo kwa barabara wakati natembea, anatafutwa nami nikaiweka kama kumbukumbu nikimuona ni report.😍😍😍😍 Kaka mkinga ushanichanganya ujue na huo mkaratasi
HahahahahaAunty abiria una vidole vizuri vya kubebea glass ya wine 😍
Hao kaka zangu wanao mix bebezii za humu kama nawaona huko wanachekea chooni😁😁Muhogo wa jang’ombe sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo 😂😂😂
Muhogo mtamu ww hafu uwe wa kugombania sasa 🤣🤣🤣🤸♀️🤸♀️🤸♀️
😁😁😁😁poleHata kunikaribisha..hahahahaha
App natumia inazingua balaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]S
simu yako inashida kipenzi[emoji16][emoji16]samaki mchemsho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noumaaaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] selemani mtoto wa Side mnyamwezi, babu yake mtoto Iddy wa Juma nature
Hahahaha..sie wengine hatuna zali, nishapoa😁😁😁😁pole
😂😂😂😂😂 Wanacheka huku wanashika bichwa dogo la chini aiseeee!!!Hao kaka zangu wanao mix bebezii za humu kama nawaona huko wanachekea chooni😁😁
😂😂😂😂 hatareeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noumaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] iishe kwa kipiii? Hadi huo muhogo wa nyamaa ukatike na usisimame tena milele.Maana nyie kila leo mnagombea mhogo wa nyama,hii vita itaisha kweli humu[emoji205][emoji205]