Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si watu wana wake wenzaoo humuuu, hujuii tenaa uduguuu aaaah wee.
😂😂😂😂 Kile chama tawala na wale waasi??
Eeeeehhhh aloooooohh!!! Hebu ntandike mkeka vizuri nile ubuyuuuu kutoka zenji mie chei cheii 👋
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwahiyo udugu mume wako na kunangwa juu?? Nyie watu wabaya!!!
Yani sate inafanya udugu wangu usimangweeee [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] nalia sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuuu sate sauzand imezua kizaa zaa JF.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kile chama tawala na wale waasi??
Eeeeehhhh aloooooohh!!! Hebu ntandike mkeka vizuri nile ubuyuuuu kutoka zenji mie chei cheii [emoji112]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi maharamiaa wapoooo.
Chezeaa weyeeee.
 
"Mbonaa km una laana seleee, aaaah seleee
Afu bado ni kijana seleee aaaah seleee
Unatafuta lawamaa seleee, aaaah seleeee,

Wee selemaniiii wee eeeh seleee,"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mirungi mishisha mibangi selemani
Kawagonganisha mpk wanapigana mangumi
Wee selemani wee sele sele
Kwahiyo wote umewalala sele?? Oohoo seleee
Na wote wakakojoa sele?? Ohooo seleee 😂😂😂😂
Coca endelea kiitikio
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akati yeye ndo alikua anampa hits za kuniponda kwa mcheps wakee.

Akuje aseme walininanga vipiii? Afu aseme siku ya 2 alikuja tena kumsaidia kuchagua hivyo vyombo, na alipeleka wapi, maana kwangu sikuvionaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂 Vyombo kumbe havijafika??
Shem mjep umetukosea sana.!!
Tunataka vyombo vyetu hata km vya plastic
 
Mirungi mishisha mibangi selemani
Kawagonganisha mpk wanapigana mangumi
Wee selemani wee sele sele
Kwahiyo wote umewalala sele?? Oohoo seleee
Na wote wakakojoa sele?? Ohooo seleee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Coca endelea kiitikio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona km una laana seleee, aaah seleee,
Unatafuta lawama seleee, aaah seleee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Vyombo kumbe havijafika??
Shem mjep umetukosea sana.!!
Tunataka vyombo vyetu hata km vya plastic
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aletee vyomboo, maana hata kwa mnangaji havipo, sasa kapeleka wapiiiii?
 
Back
Top Bottom