Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Udugu anza nipate samaree za kuwapa ambao hawatokuwa active
uduguuu em kwani huu uzi hautakiwii kupoaa kabisaaa.
Yaan modes hawatakiwi kukaa bila kazi, lazima tuwape mikiki mikiki.
Wana raha gani, ziara yao ya chuga ishaisha, sahivi wawe buzzy na kazi hapa jamvini.
 
sasa ulisikia yeye katajwa vipi? Pimbi na kijeba.
Ila watu wana dhambiiii. Eti zakayo wa kike.
Zakayo watiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 😂😂😂😂😂😂
JF uzi wa selfika waanze kulipisha km Mange app sasa naona ishakuwa ubuyu wa moto
 
uduguuu em kwani huu uzi hautakiwii kupoaa kabisaaa.
Yaan modes hawatakiwi kukaa bila kazi, lazima tuwape mikiki mikiki.
Wana raha gani, ziara yao ya chuga ishaisha, sahivi wawe buzzy na kazi hapa jamvini.
Kabeesaaa 🤠!
Yani humu mimi mbavu zaniuma jamani 😂😂😂😂
Na kweli modes wamepumzika vya kutosha waanze kazi sasa
 
Eti nini?? BK ipi unamaanisha??? Hii ya kwa bibi au Bukoba???
Humu wapole ndio shindikanaaaa
yaan wee acha, alivyokua anajifanya innocent na hataki convo na wanaume, kumbe had kukutana nao anaendaaa.

mbombo ngafuuuu, ngachokaa neneee
 
Piga kelele kwa southern highlands weweeeee.!!!!
Hatuna show mbofu mbofu ni kupigwa ndoa tyuuu!!! St Anne wera a yuu utuimbie Tumoghele
Akuje akuje haraka sanaaa,
Unajiona mzuriii, na unapendwaa afu wanaolewa wengineee.
Wee hebu njoo tukutakasee upate ndoa, mbona leo mood ya ugomvi inanijiaaa. Khaaaah
 
Akuje akuje haraka sanaaa,
Unajiona mzuriii, na unapendwaa afu wanaolewa wengineee.
Wee hebu njoo tukutakasee upate ndoa, mbona leo mood ya ugomvi inanijiaaa. Khaaaah
😂😂😂😂😂 treeeeeenaaaaahh 👌👌👌👌
Aje hapa tuhangaike nayee, yuwapi eee mke mwenza yuwapi eeee 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Tena wakavuu haswaaaa,
Na sate sauzand alipokeaa, na kushukuruu juu.

Wee Mjep hebu njooo hapaa. Unabaki huko kwa amani gani uliyo nayooo?
😂😂😂😂 Ushaanza kuchachuka uduguu mume anauma poleee sana 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
Mjep njoo unaitwa shemeji yani mdogo angu anapondwa ww umetulia??
Hebu kwanza tujibu hiyo sate na papa ulikula?? 😂😂😂😂
Tushapandisha majini voooh hebu sema haraka
 
wake wenza wako wengii humuu.
Maana wanaume wa humu, kila sketi inayolegea wao wanaivua kabisaaaa
😂😂😂😂 Weeehh kumbe?? Wengine wepi hao tenaa???
Walete tuwasuuze hatutaki kushare sisi 😂😂😂
Anayetaka kushare aende kwa dada wa taifa akashee life story yake alipwe mkwanja
 
Ushaanza kuchachuka uduguu mume anauma poleee sana
Mjep njoo unaitwa shemeji yani mdogo angu anapondwa ww umetulia??
Hebu kwanza tujibu hiyo sate na papa ulikula??
Tushapandisha majini voooh hebu sema haraka
akati yeye ndo alikua anampa hits za kuniponda kwa mcheps wakee.

Akuje aseme walininanga vipiii? Afu aseme siku ya 2 alikuja tena kumsaidia kuchagua hivyo vyombo, na alipeleka wapi, maana kwangu sikuvionaaa.

 
Weeehh kumbe?? Wengine wepi hao tenaa???
Walete tuwasuuze hatutaki kushare sisi
Anayetaka kushare aende kwa dada wa taifa akashee life story yake alipwe mkwanja

Si watu wana wake wenzaoo humuuu, hujuii tenaa uduguuu aaaah wee.
 
Back
Top Bottom