Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

d4b1ea5656901bb3463049fbf5228118.jpg
 
Ungejimix akujue uone balaa lake sasa!!
Angekuleta wima wima nakwambia na ungenangwa zaidi ya ulivyonangwa.!!
Humu ni kuishi bila kujuana wakeshe wanahangaika kukutafuta, hii kujuana imeleta shida sanaaa.!! Mtu anakuchambua km ana kadi lako la clinic dadeq..!!
Hawa watu wanaojifanya wapole humu ni waongo sijapata kuona, kwanza wana id’s zao za kuchamba tofauti na walizozoeleka.!!
Wanapenda kuonekana wastaarabu kumbe wapuuzi afu tunawachora, tunawacheka hihiiiiiiiii
yaan acha tyuuuh.
Jinsi alivyokuaga innocent yule dada, na hizi njegeka zilizotokea juu yake nabakiii hoiiii.

Walllah nilijuaga yule dada ni BK, Na nlijisemea mumewe atamuoa atapata mke bora sana,

nyie JF sio tuionavyooo walllah.
 
Hebu niimbie kwanza wimbo wa Mbosso kidogo
"Mbonaa km una laana seleee, aaaah seleee
Afu bado ni kijana seleee aaaah seleee
Unatafuta lawamaa seleee, aaaah seleeee,

Wee selemaniiii wee eeeh seleee,"
 
Ariririiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ukipandisha kitonga ujue mikoa ya uko wote hatukalishwi uchumba sugu
Nyanda za juu sisi ni ndoa tyuuu!!
Ndoa zinatufataa wenyeweee, wala hatuziiti na hatulazimishiii, southern highlands 4 Marriage, not Courtship.

 
Ndoa zinatufataa wenyeweee, wala hatuziiti na hatulazimishiii, southern highlands 4 Marriage, not Courtship.

Piga kelele kwa southern highlands weweeeee.!!!! 😂😂😂😂😂
Hatuna show mbofu mbofu ni kupigwa ndoa tyuuu!!! St Anne wera a yuu hebu njoo utuimbie Tumoghele 🤣🤣🤣🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Back
Top Bottom