Basi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban 😁tangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.😳kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namna😁
Na hiki ndicho ninachokipika muda huu🥰
Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea 😁
Umechemka aisee na nakupa pole alafu kukumaliza kabisa leo toka asubuhi na lamomy tulikua na discussion ya mahari, sasa sijui hali yako itakuaje aisee View attachment 2912369View attachment 2912371
Nyie mimi mwenzenu hata sioni picha, hiyo app mpya imenishinda naona iko kama browser tu ambayo nayo ilishanishinda najitahidi kuizoea ila wapi sijui wenzangu mmeizoeaje, watu wa app ya zamani tunateseka sana na wamesema soon tu wanaidisconnect kabisa na JF
Basi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban 😁tangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.😳kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namna😁
Na hiki ndicho ninachokipika muda huu🥰
Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea 😁View attachment 2912635