[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mbona mwenyewe hujisemi, kila siku unajisifia uduguuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu unaanza kujimix ujue, si utumie id yako maarufu
Haendi kabisaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Khaaa mbona muoga hivyo mtani? Yani unafunika mpka mdomo...uwanjani utaenda kweli jmosi... [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Sioni pichaa,Basi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban [emoji16]tangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.[emoji15]kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namna[emoji16]
Na hiki ndicho ninachokipika muda huu[emoji3059]
Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea [emoji16]View attachment 2912635
Kwann? [emoji23][emoji23][emoji23]
ππππ usitoke kabisaaNshatuaa viragooo tayari [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban πtangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.π³kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namnaπ
Na hiki ndicho ninachokipika muda huuπ₯°
Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea πView attachment 2912635
Selfika basiHumu kuna mambo mengi sijaingia siku nyingi nakutana na mapya..
Haiya iyaah kuolewa ntarudi nyumbani kutembea ππππWatu na vikao vya mahari mjiniii, harusiii tunayooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu nane umeonyeshwa chakula chiefAunty abiria una vidole vizuri vya kubebea glass ya wine π
Daah basi tu lakiniNilikuwa nakuangalia tu ulivyokuwa unaniambia niache siku ile [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unitumie sasa hivi pesa ya jagermeister[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna ya rema nilisearch ikaja hii nikaplay
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hujapata habari, kumbe mjep na mchepuko wake walikua wananinga huko mlimani city.
Yan mume ana mnanga mkewe, wee ulisikia wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππππ nimeona udugu mume umejua kumkamatia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio shida zetu kabisaaa.
Vaa kijora sasa πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuambiaaaa
Leta mchango mahari mil 20Watu na vikao vya mahari mjiniii, harusiii tunayooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππππ Wewe tena, ndiomana ulikimbia..!!Unitumie sasa hivi pesa ya jagermeister
Unachochea sio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weeee!! Kumbe ndo ilivyokuwa.??
Yani raha ziliwazidia mpk wakaamua kukunanga.!!! Jf ya moto