Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

#tbt
20231231_172949.jpg
 
Walikua na wivu tu
Wakikosa totoz wanazishutumu vocha
Vocha tumeacha kupost na bado totoz hawapati sijui wanasemaje sasa
khaaaaah
Tafadhari rudi ktk tabia yako, hii haikufai na siitaki kuiona kwako
 
Walikua na wivu tu
Wakikosa totoz wanazishutumu vocha
Vocha tumeacha kupost na bado totoz hawapati sijui wanasemaje sasa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Muongeze sauti jamani!!

Sisikii madogo wanashangilia kwa makelele sana hukuu😁


#Sports and games 🙇


Story fupi fupi picha kwawingi wapendwaaaa
 
Wewe kila mara ulikuwa unamtumia huyo pimbi vocha PM na mara moja moja unamtumia hela mpesa.

Siku mmekutana mcity mlianzia utani hapa tena ukamwambia aje na cocastic. Jioni yake ukamcheki alikuwa ukonga, akaja hapo mkawa mnamnanga cocastic kuwa ana vituko sana. Kisha mkapata dinner, ukampa na wine then ukamkaribisha akaone hotel uliyofikia.

Baada ya hayo ukampa 30k na kumuomba kesho yake aje hapo mcity akusaidie kuchagua vyombo upelekee wake zako.

Haya mimi nilihusikaje kwenda kwa mods?
Jamaniiii naombaaa ufungukeee zaidi, kumbe mjep na tinsley walikua wananinanga huko mlimani city?

Hebuu sema yoteeeee, nasemajeee hebu fungukaaa nijue kulikoniiii.

Jamaniiiiiiii kumekuchaaa hapaaaa.
 
Back
Top Bottom