Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Walikua na wivu tu
Wakikosa totoz wanazishutumu vocha
Vocha tumeacha kupost na bado totoz hawapati sijui wanasemaje sasa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Muongeze sauti jamani!!

Sisikii madogo wanashangilia kwa makelele sana hukuu😁


#Sports and games 🙇


Story fupi fupi picha kwawingi wapendwaaaa
 
Wewe kila mara ulikuwa unamtumia huyo pimbi vocha PM na mara moja moja unamtumia hela mpesa.

Siku mmekutana mcity mlianzia utani hapa tena ukamwambia aje na cocastic. Jioni yake ukamcheki alikuwa ukonga, akaja hapo mkawa mnamnanga cocastic kuwa ana vituko sana. Kisha mkapata dinner, ukampa na wine then ukamkaribisha akaone hotel uliyofikia.

Baada ya hayo ukampa 30k na kumuomba kesho yake aje hapo mcity akusaidie kuchagua vyombo upelekee wake zako.

Haya mimi nilihusikaje kwenda kwa mods?
Jamaniiii naombaaa ufungukeee zaidi, kumbe mjep na tinsley walikua wananinanga huko mlimani city?

Hebuu sema yoteeeee, nasemajeee hebu fungukaaa nijue kulikoniiii.

Jamaniiiiiiii kumekuchaaa hapaaaa.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Muongeze sauti jamani!!

Sisikii madogo wanashangilia kwa makelele sana hukuu😁


#Sports and games 🙇


Story fupi fupi picha kwawingi wapendwaaaa
Madam unakata sana
 
Jamaniiii naombaaa ufungukeee zaidi, kumbe mjep na tinsley walikua wananinanga huko mlimani city?

Hebuu sema yoteeeee, nasemajeee hebu fungukaaa nijue kulikoniiii.

Jamaniiiiiiii kumekuchaaa hapaaaa.
Mmbeya umefikaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwambie amwagike 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Screenshot_20231210_125802_Gallery.jpg
 
Mmbeya umefikaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwambie amwagike [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiii kumbe ukiwa na wake wenzangu huwa unaninangaaaa? Haya sema ulininangaa kwa kipiiii?

Woiiiiiiiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiii kumbe ukiwa na wake wenzangu huwa unaninangaaaa? Haya sema ulininangaa kwa kipiiii?

Woiiiiiiiiiiih
Tulia kwanza uletewe umbeya🤣🤣🤣🤣
Kwa nn hujaja mlimani City lkn?
 
Mmbeya umefikaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwambie amwagike 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Acha unafiki bwege wewe. Unabaki kujichekesha tu hapa kama tahira vile.

Kwa taarifa yako chats zenu zote za hapa PM na normal text huyo pimbi wako alinipa access ya kuziona.

Halafu huyo demu ni mimi nilikataa kumla, alikuwa anabembeleza sana nimle. Na chanzo cha kuleta huo ujinga hapa ni alimsimulia yule shoga yake anaeshindia kahawa hapo mcity, nalo kwa wivu bila kuwaza likayaleta hapa.

Punguza ujinga sijawahi kataliwa na kamtu kafupi kama huyo kenge wenu. Jiulize kama nilsema uongo lwa nini walikimbia na baadae akaja na id mpya kuomba msamaha????

Huyo shoga ake alitengeneza convo PM ya mods na max akilia nipewe ban, unajua kwa nini sikupewa, yeye ndie alianza uchokozi kama wewe kenge ulivyo fanya hapa.
 
Back
Top Bottom