Baelezee 😁😂Hahahahahaha...huwa mnaanzaga hivi hivi
Ewaaaaa
Hebu toa hio emoji, tuone huo uchebeee.
Afu hii picha ni ya kichokozi, inaamsha vilivyolala kabisaa.
![]()
Hahahahaha..unajua humu ukiwa pembeni unawachora watu ndio utajua ..kuna TATIZO kubwa sanaBaelezee 😁😂
Kabisa kakaHahahahaha..unajua humu ukiwa pembeni unawachora watu ndio utajua ..kuna TATIZO kubwa sana
Walikua na wivu tu
Wakikosa totoz wanazishutumu vocha
Vocha tumeacha kupost na bado totoz hawapati sijui wanasemaje sasa



khaaaaah


kumekuchaaaaWe mke mwenzangu Lamomy selfika View attachment 2910362
Nje ya picha, nlikua najuaga wee mbaba mtu mzima mwenye miaka yake, kumbee walaaaHahah siwezi kutoa coca, mimi sio verified...
Mchana huu, vitu vyote vipo macho![]()





Watu 8 na nusu
Na ndevu kiduchu
Acheni nawao tuwaseme kwani wasisemwe wamekua kina nani aikooooooo!




unapenda sana udakuuu wee.Nakuja na kiboko ya kuua magugu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ntapanda mengine mengi zaidi! 😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!Walikua na wivu tu
Wakikosa totoz wanazishutumu vocha
Vocha tumeacha kupost na bado totoz hawapati sijui wanasemaje sasa
Jamaniiii naombaaa ufungukeee zaidi, kumbe mjep na tinsley walikua wananinanga huko mlimani city?Wewe kila mara ulikuwa unamtumia huyo pimbi vocha PM na mara moja moja unamtumia hela mpesa.
Siku mmekutana mcity mlianzia utani hapa tena ukamwambia aje na cocastic. Jioni yake ukamcheki alikuwa ukonga, akaja hapo mkawa mnamnanga cocastic kuwa ana vituko sana. Kisha mkapata dinner, ukampa na wine then ukamkaribisha akaone hotel uliyofikia.
Baada ya hayo ukampa 30k na kumuomba kesho yake aje hapo mcity akusaidie kuchagua vyombo upelekee wake zako.
Haya mimi nilihusikaje kwenda kwa mods?