Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hatareee nyie dah!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ss hivi mkiniuzi tyuu nakuja na pic zenu kuwachamba [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Nikuudhi kitu gani ukuje na picha yangu 😁😁
 
Sawa unakula bata
Kula bata ila deni langu hunilipi aah uhmm
We unakula raha
Ni nina njaa kale kadeni kangu hunilipi aaah
Aaah aaah kuna kesho
Ujue unaniburuga yelelee
We si unanivuruga sawa
Ujue unaniconfuse yelelee
Acha tu nile bati sawa

Sisi sio milima tutakufana
Sisi ni people tutaonana
Si sio visima tutasomana
Tukiwa kama people kitaumana umana

Intelligent businessman 😅😅😅
Ita fahamika tu🤣😂🤒 National Anthem
 
Nikuudhi kitu gani ukuje na picha yangu [emoji16][emoji16]

Wewe pic yako haina shida nakujua sie si ndo viherehere wa kuselfika humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuna hizo Pipo hata sijui km zenyewe zinajua km wapo kwenye pdf wanasemwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Afu pic ya dada mbong’oko nimeipata banaa woiiiih khaaaaaa!!! Nyie mi staki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nitafute nikupe pdf ujichekee
 
Wewe pic yako haina shida nakujua sie si ndo viherehere wa kuselfika humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuna hizo Pipo hata sijui km zenyewe zinajua km wapo kwenye pdf wanasemwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Afu pic ya dada mbong’oko nimeipata banaa woiiiih khaaaaaa!!! Nyie mi staki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nitafute nikupe pdf ujichekee
Hebu njoo pm nina maongezi nawe binafsi huo mbong’oko kwema 😁😁😁😁🙌
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tuma na ya kutolea nikupe pdf la mibong’oko uvunje mbavu!!! Miongozo mwenzio alitupa simu kwa mshtuko!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ushawahi kumuona yule bibi wa kihindi wa TikTok
Naomba nitumiee plz, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kabla hujavamia mapenzi ya watu unatakiwa ujipime kwanza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa Antonia lile hips na ile rangi afu atupie [emoji160] moto wake unakuwaje??

Haya mwenzangu na mie huyo dada mbong’oko naye kachokaaaa km betina katupia [emoji160] amtege bwana lahaulah lakwata!!! Bwana nasikia kwanza alitupa simu chini kwa mshtuko ( hii nimetunga) [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kaona isiwe shida ka4ward kwa Antonia ajionee mshindani wake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Km mbwa wa kisomali aliyepigwa na njaa ya vita kali
Watu weuweeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom