YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Alisema mdada mwenyewe na kutaja mafuta ya upako!! Jiongezee uduguuu!!



wanajiweza aiseee!!Alisema mdada mwenyewe na kutaja mafuta ya upako!! Jiongezee uduguuu!!



wanajiweza aiseee!!😬😁😁😁Wanatuona tunaouza vijora wajinga, wanatumia mibong’oko kusurvive town![]()
Sema tunaofanya biashara ndogondogo za kuokoteza
Tukibezwa ,wadangaji huwa wanafurahi sana.



Madam achana nayo haya mamboAlisema mdada mwenyewe na kutaja mafuta ya upako!! Jiongezee uduguuu!!


Unajua kuchochea kuni we mtu😁😁Udugu leo umechafukwa
Chonde chonde pic ya aliyebong’oka niikute piem naifungua
Tena huyo mbong'oko ndio mchawi namba moja uduguuu hata miaka hiooo jamaa alishaniuliza hivi huyu mdada ulimfanya nini mbona anakuongelea sana!! Kuuutwaa kupeleka mambo yanguuu🙌🙌🙌🙌🙌Hawajielewi achana nao!! We pesa ya kubong’oka si mateso hayo
Bora ujitafutie pesa yako isiyo na mateso
Na image huo m bong’oko jamaniii 😬🤨Ila nimecheka leo eti wana bong’oka kuwatega wanaume
Hii imeenda
Mie hata sina picha mpya asee Fanya kutupia kama unayo!Madam achana nayo haya mambo
Una mambo mengi na majukumu ya muhimu ya kututrngenezea wakemia nchini.
Tumemiss maselfie yako matata
Vocha zile Boss ledi wetu ulikuwa unatupa majobless kipindi hicho (Wema hauozi)
Tuselfike Madam
Unajua kuchochea kuni we mtu![]()










Pesa ngumu dada lazima watu wajiongeze 😬😁😁😁Nataka pic ya mbong’oko me
Ujue kila nikivuta pic naishia kucheka sanaa!!!
Sasa nataka wanipe niangalie live bila chenga nimpe maua yake dada MIBONG’OKO![]()
Tena huyo mbong'oko ndio mchawi namba moja uduguuu hata miaka hiooo jamaa alishaniuliza hivi huyu mdada ulimfanya nini mbona anakuongelea sana!! Kuuutwaa kupeleka mambo yanguuu![]()



Emu nipe pic yake nisafishe macho, mselfishe tupate ladhaMie hata sina picha mpya asee Fanya kutupia kamq unayo!




Pesa ngumu dada lazima watu wajiongeze![]()




Halafu Mwanaume akapiga chini dada gundu lake akajiloweke Mtoni😁😁alivyo bong’oa
🙆🏾♀️😁😁😁😁😁Ndo kwa kubong’oka?? Afu ukute vitako km skonzi![]()
Yaani cute wife unanichekesha na comment zako![]()



it’s furahi dei bebe