Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aliyekufundisha hilo neno kidampa apewe tuzo. .
Huna chochote zaidi ya kutujazia vi imoji vya kujichekesha nyuzi nzima.
Wanawake wanajiamini humu wana mishepu ya maana na wewe unasogeza tako lako kujilinganisha.
Picha zenyewe huweki kucha kutwa kujichekesha na vi imoji.
Tuache tu flirt na wanawake wanaojielewa, nani wa ku deal na hio mifupa kwanza kalio lenyewe gumu kama jiwe
huyo anayekuzagamua naye ana kazi, sipati picha, anavumilia mengi.
shostitoooo unateseka na mie, na nitakutesaaa sana, mwenzako mifupa na kalio gumu lakini wa kunizagamua wapoo km sio yupoo,

Vipiii wee mwenzangu uliyekosa sokooo? Wa ku date na wanawake utakua wee? Unawajua kwanii??
Wee mwenyewee mwanamke toleo jipya na hujikubaliii badoo, kutwa hasira na makasirikooo,

Shost sema na mambo yakooo, yaan huna jipyaa kwangu, nilisha kufurusha mwaka juzi, unabaki kugugumia na kuhadaika,

Wajomba maresh msio jikubali na watu wazima sina mda nao, huwa na deal na rika na type yangu.

Poleeeee weeee.
 
Hivi mbona nilishaacha kukutag tangu ile siku ulivotumwa nahao wanawake zako wewee mtu!!
Antonnia tuache shangazi yangu mzuri.
Ebu tuache ingiza wasio husika.. Hapa nipo mie na wewe..
Sijatumwa na hawawezi nituma. Tuachane na hili. Nyie wote ni binadamu mnaishi lolote na chochote chaweza tokea na yoyote anaweza akawa msaada kwa mwenzake.. maisha ni fumbo.. hakuna aijue kesho. Yufanye upendo utangulie mbele.. Sijatumwa na mtu.. Usihisi hivyo 🙏🙏🙏🙏.. Tuachane na hilo pls..
 
shostitoooo unateseka na mie, na nitakutesaaa sana, mwenzako mifupa na kalio gumu lakini wa kunizagamua wapoo km sio yupoo,

Vipiii wee mwenzangu uliyekosa sokooo? Wa ku date na wanawake utakua wee? Unawajua kwanii??
Wee mwenyewee mwanamke toleo jipya na hujikubaliii badoo, kutwa hasira na makasirikooo,

Shost sema na mambo yakooo, yaan huna jipyaa kwangu, nilisha kufurusha mwaka juzi, unabaki kugugumia na kuhadaika,

Wajomba maresh msio jikubali na watu wazima sina mda nao, huwa na deal na rika na type yangu.

Poleeeee weeee.

Oyooooooooo!! Bora mana alikunanga udugu mpe vidonge vyake
 
😅😅😅 haya mawe enzi zangu nipo Las vegas .. nimezingukwa na matoto.. yaniitaa papaaa.. huku kashika kidevu yaaani.. usikumbushe nitalie
National Anthem
Screenshot_20230824-200232_1.jpg
 
Back
Top Bottom