YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
uduguuu kaoge alikua na balaa lake mjini, sio kwa ngosha yulee woiiiiih.
Oyoooooo!! Udugu bora Umefika



uduguuu kaoge alikua na balaa lake mjini, sio kwa ngosha yulee woiiiiih.



Ila mbona hufananii na ukorofi wako eti?😅😅😅😅 nikuuzie bei sawa na bure.. nakujua we si ndio master modView attachment 2727543
Amzoee naniii?Usinambie udugu
Emu mkaushe damu asikuzoee




Kawehuka huyo🤣😂😂, Wanao nijua Wana ishia kumdharau tu,.Golikipa kweli hayupo??![]()
Nyagi , Bange, Mikopo bank.. kucheleweshea kulipwa, umeninyima nyamaa.. mafuta kupanda bei 😎😎😎..Ila mbona hufananii na ukorofi wako eti?
Nimemchafua nani humu???😅😅😅 Huyu mama namuheshimu sana. Nayaacha kama yalivyo, sema mapombe ya jioni haya mabaya sana.. sema kama atakuwa muungwana ataacha uswahili na kuendelea chafua wengine..
Halafu si bure huu ugomvi umefurahii![]()





Kwa kweli utatisha sana hebu fanya mambo chap. naahidi nasubiri.Vocha nitakupa me ila subiri coca afike kwanza
Punguza mkuu bangi huko unapo elekea utakula makofi😬😬Nyagi , Bange, Mikopo bank.. kucheleweshea kulipwa, umeninyima nyamaa.. mafuta kupanda bei 😎😎😎..
Twende mjengoni shangazi basi.. tuache hapa watu enjoy.. unajua nini wagombanao ndio wapatanao ( in wahenga voice ).. 😊😊😊😊.. sorry 🥲Nimemchafua nani humu???
Wanajichafua wenyewe kwa mambo yao mie sihusiki tasavaliii!
😅😅😅 nataka nyama na damu sasa wewe usiniletee ndio utajuaPunguza mkuu bangi huko unapo elekea utakula makofi😬😬






Kwa kweli utatisha sana hebu fanya mambo chap. naahidi nasubiri.




Weka ila hakikisha unaweka na sreenshort ya ushahidi kabisa kuchafuliwa bila ushahidi tutafikishana mbali😬😬😁😁😅😅😅 nataka nyama na damu sasa wewe usiniletee ndio utajua