Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

National Anthem hi ni zaidi ya 🔥
Screenshot_20230824-200813_1.jpg
 
Jirani usijali. Tuliza moyo wako.
Mie sinaga tabu namtu Humu jirani ukiona mimejibu jua imekua too much!! Watu wana fyokofyoko sana Humu wanataka kumpangia mtu kukoment humu!! Wao wakipapatuka wanapenda ufyanteeee !! Bange mbaya sana!
 
Wee una wazimu eeehh???? Hivi wee kichwani zimo kweli???! Ulinitaka nikakukataa nini haya makasiriko yote kunani???
Hebu kwendraaa huko na nuksiii zako za kutongoza wadada wakikukataa unawatafutia kisirani Mbona Mie sina habari nawewe muda mrefu hizo chokochoko zako unanitafutia nini???
Acha kutafuta kiki humu sina muda nawewe kenge mzee wewe mmxxxxxieeewwww!!
Kumekuchaaaaa!!!!!
 
Sijaona wa kunihonga?? Hizi vocha za jero za humu??
Wenyewe wanasubiri mjep awape!!

Wakinga hatuamini kwenye kuhongwa, sisi ni ma fighter njoo Mwanagati uone mijengo tulioporomosha afu mtaa wote mademu
uduguuu hebu tujie taratibuuu.
Khaaaah
 
Kmanyoko zako utadhani kweli vile!!

Sura gumu hilo akukubali nani??? Nitolee wendawazimu wakoo pakadume zee wewe acha kutafuta kiki malayyaa wakiume!! Vocha humu zinawekwa sandakalawee tena muwekaji ni mjep mwanaume na Wivu wako ukajifanya kumuiga mwanaume mwenzio mmxxxxxieeewwww ulivo na nuksiii sasa!
 
Back
Top Bottom