Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Basi siji😂, man niitia makande😁.
👉 Halafu nyie mna enda kuku kuku😁
Mgeni wewe mbona mtata?🙄
Basi siji😂, man niitia makande😁.
👉 Halafu nyie mna enda kuku kuku😁
Alooooooo
Lodge joto
Ndani joto
Nje joto
JF JOTO
SELFIKA JOTO
KIVUMBI LEO




Aisee...uko kama mimi👍kigori mie niliamua kuwachia mijadara yao.. ila sasa wanaendelea kufata watu na kunichafua kuwa navumisha nimewala..
Narudia sijawai kula mtu humu JF, sijawai tongoza mtu humu na haitakaa itokee..
Ile picha niliona miguu nikasema hizi ni nondo au miguu ya mtu, kumbe miguu aisee.
Wee una wazimu eeehh???? Hivi wee kichwani zimo kweli???! Ulinitaka nikakukataa nini haya makasiriko yote kunani???
Hebu kwendraaa huko na nuksiii zako za kutongoza wadada wakikukataa unawatafutia kisirani Mbona Mie sina habari nawewe muda mrefu hizo chokochoko zako unanitafutia nini???
Acha kutafuta kiki humu sina muda nawewe kenge mzee wewe mmxxxxxieeewwww!!
Yaani wewe kwenye moto unao waka wewe unaongeza mafuta 🥶Acha waswahili walipuliwe😂🤣
Ndio maana unasukuma chuma kali, nikajua ulihongwa![]()




Washa feni![]()
Aisee...uko kama mimi![]()
Ile picha niliona miguu nikasema hizi ni nondo au miguu ya mtu, kumbe miguu aisee.




hataree!! Coca emu njoo banadogo mzushi sana kateka hata ID ya dogo.. na maupambavu yao ..Ndyo maana nikamtafuta [mention]Tinsley [/mention] sioni ID yake kidogo nimcall normal kumbe ningehackiwa
Kivumbi Leo
Sijaona wa kunihonga?? Hizi vocha za jero za humu??
Wenyewe wanasubiri mjep awape!!
Wakinga hatuamini kwenye kuhongwa, sisi ni ma fighter njoo Mwanagati uone mijengo tulioporomosha afu mtaa wote mademu

nakubali. Bado mbweni
Nashangaa sana mtu kuanza kukomaa kutongoza mtu humjui hakujui hujawai muona.. Hatari sanaAisee...uko kama mimi👍
Hizi lodge za manzese kwa mfuga mbwa hazina feni
Kivumbi Leo





💯 😂🤣🤣😁😅😅😅😅 SIJAWAI TONGOZA MTU JF NA HAITAKA KAA ITOKEE.. HUENDA UNAOTA
SIWEZI DEAL NA MTU INVISIBLE.. KUKIWA NA USHAHIDI WA AMBAE NIMEMTONGOZA HAPA...
Ujue we dogo ni mchawi sana, mda si mrefu tulikuwa close sana .. nimekuwa karibu na D.. tayari unaanza chuki.. we mjinga sana huna akili. Acha kuvumishia watu kuwa wanakutongoza sina mda mchafu, nakula wanawake wa kitaa.. Sijafikia hatua ya kutongoza watu humu
Kmanyoko zako utadhani kweli vile!!kigori mie niliamua kuwachia mijadara yao.. ila sasa wanaendelea kufata watu na kunichafua kuwa navumisha nimewala..
Narudia sijawai kula mtu humu JF, sijawai tongoza mtu humu na haitakaa itokee..