Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee una wazimu eeehh???? Hivi wee kichwani zimo kweli???! Ulinitaka nikakukataa nini haya makasiriko yote kunani???
Hebu kwendraaa huko na nuksiii zako za kutongoza wadada wakikukataa unawatafutia kisirani Mbona Mie sina habari nawewe muda mrefu hizo chokochoko zako unanitafutia nini???
Acha kutafuta kiki humu sina muda nawewe kenge mzee wewe mmxxxxxieeewwww!!

Ebooooooo
 
Mgeni wewe mbona mtata?🙄
Amna mi mhandsome 🤣
FB_IMG_16920239925713454.jpg
 
😅😅😅😅 SIJAWAI TONGOZA MTU JF NA HAITAKA KAA ITOKEE.. HUENDA UNAOTA

SIWEZI DEAL NA MTU INVISIBLE.. KUKIWA NA USHAHIDI WA AMBAE NIMEMTONGOZA HAPA...


Ujue we dogo ni mchawi sana, mda si mrefu tulikuwa close sana .. nimekuwa karibu na D.. tayari unaanza chuki.. we mjinga sana huna akili. Acha kuvumishia watu kuwa wanakutongoza sina mda mchafu, nakula wanawake wa kitaa.. Sijafikia hatua ya kutongoza watu humu
💯 😂🤣🤣😁
 
kigori mie niliamua kuwachia mijadara yao.. ila sasa wanaendelea kufata watu na kunichafua kuwa navumisha nimewala..

Narudia sijawai kula mtu humu JF, sijawai tongoza mtu humu na haitakaa itokee..
Kmanyoko zako utadhani kweli vile!!

Sura gumu hilo akukubali nani??? Nitolee wendawazimu wakoo pakadume zee wewe acha kutafuta kiki malayyaa wakiume!! Vocha humu zinawekwa sandakalawee tena muwekaji ni mjep mwanaume na Wivu wako ukajifanya kumuiga mwanaume mwenzio mmxxxxxieeewwww ulivo na nuksiii sasa!
 
Back
Top Bottom