Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

National Anthem Huyu Ni zaidi yao mzee 🤒🤒
Screenshot_20230824-201355_1.jpg
 
uduguuu pic zangu zilisambazwa had kwa member wasio humu, hebu uliziaaa utazipataaaaa bhanaaa.

Sahivi nimenenepa, nikituma za sasa mtu atakosa evidence, tafuta za zamaniiii uduguuu.
Hio ipo sana humuu shoss akee hujaizoea tu??!
Khakhakhaaaa!! kwa unaa uliopo humu walikua wanamtumia sana picha zangu na blah blah kibaoooo eti wanamshauri nyieeee! Afu anayaleta kama yalivoooo!! 😊😊!!
 
khaaaaaaa!!!
Leo unanichekesha wewe ujue, ila nakuonea huruma sana coca akifika atakusuuza
Nimsuuze mara ngapiiiii??
Anatafuta ahueni ya nilivyo mfurushaa mwaka juzii,

Ile ni kubwaaaa, na haitokaaa ijirudieee, anaweweseka hadi leoo. Wee muulize akupe habariii.
 
Huyo nshomile kwa kupenda sifa utamuweza??? Anatongoza tongoza hovyo kila mwanamke humu leo hii anajifanya hatongozi ??? Ataishia kuwala haohao waathirika wenzie wakomaze virusi na magonjwa Sugu!! Anitolee virusii vyaooo kmaninaa zao!!

Alimdanganya mtoto wawatu humu kuwa anahela yeye engineer maprosoo kumbe njaa kali tu!!

Akajifanya atamnulia IPhone na ukumakuma mwingine kibaooo wakaishia kumla mande mtoto wawatu hadi ameamua kubadili username nakupotea humu!!
Mbna mapyaaaa hayaa,
 
Back
Top Bottom