Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,060
- 95,609
Kama mie muongo mwambie apost picha kama hujakimbia.




wee mwenye hasira na makasiriko na mie hujakimbia, ndo akimbie yeye??




DJ waleteeeeeeeeeeeeTo have Success, lose the Fear of Death, Kama kufa siogopi naogopa vipi ukinitangaza.




Hio ipo sana humuu shoss akee hujaizoea tu??!uduguuu pic zangu zilisambazwa had kwa member wasio humu, hebu uliziaaa utazipataaaaa bhanaaa.
Sahivi nimenenepa, nikituma za sasa mtu atakosa evidence, tafuta za zamaniiii uduguuu.
![]()
Oyooooooooo...... 🔥🔥🔥🔥 Unanipa mizukaaa sana.. kuna dude moja la Eminem goja nilicheki hapaaa.. huyu na kile kichwa cha Dr. Dre
Cheka utanue mapafu shougaaangu selfika never boring!!
Nimsuuze mara ngapiiiii??khaaaaaaa!!!
Leo unanichekesha wewe ujue, ila nakuonea huruma sana coca akifika atakusuuza





We jamaa, Ume mpost, na Mimi nime mpost- same time🤣😂😂To yeye usipite huku 🙁🙁🙁.. Intelligent businessman ataanzisha mambo yake
Huku kila mtu mbabe, hakuna unyonge![]()



😂😂😂😁!Hakuna kua mnyonge humu
Piga nikupige, nasubiri siku yetu tukifurumuana
uduguuu pic zangu zilisambazwa had kwa member wasio humu, hebu uliziaaa utazipataaaaa bhanaaa.
Sahivi nimenenepa, nikituma za sasa mtu atakosa evidence, tafuta za zamaniiii uduguuu.
![]()



mbona me sikuziona hebu mabingwa wa kutuma na mie wanitumieOyaa ottoman Ime karibia🤣😂Mimi mpaka naogopa naweza kupa nyama ukasema nimeweka sumu jukwaani 🙆🏾♀️😁😁😁
Mbna mapyaaaa hayaa,Huyo nshomile kwa kupenda sifa utamuweza??? Anatongoza tongoza hovyo kila mwanamke humu leo hii anajifanya hatongozi ??? Ataishia kuwala haohao waathirika wenzie wakomaze virusi na magonjwa Sugu!! Anitolee virusii vyaooo kmaninaa zao!!
Alimdanganya mtoto wawatu humu kuwa anahela yeye engineer maprosoo kumbe njaa kali tu!!
Akajifanya atamnulia IPhone na ukumakuma mwingine kibaooo wakaishia kumla mande mtoto wawatu hadi ameamua kubadili username nakupotea humu!!






