Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mshenziii kabisaaa.. hana akili.. nilipotezea hilo mambo toka juzi.. naona wanaendelea kutunga story..

Sasa acha nikaaange mtu na mafuta.. hao wanao sema naumisha nimetoka na Dr Lizzy .

.. kuna jina mmoja humu anaitwa Rabbitus .. huyu dogo msenggee sana.. yeye anaenda mfukuzia @tinsley.. anaenda mtishia anasona PM zake zote, anamtishia nimeuundia jamaa kikundi kwamba asimfate @Tinsley ni mtu wangu .. na kuanza kueleza habari za kuwa na date na Dr Lizzy na tahira mmoja hivi.. ili dogo amind anipige cha mbavu.. kitu ambacho sio kweli.. bahati nzuri yule mtoto sio mnafiki na kanaogopa upumbavu kakanichana .. Rabbitus acha ushamba.. mrudishie dogo ID yake.. hayo mapenzi ya kizamani unawivu hadi una beba na ID ya mtoto mdogo yule ...

Intelligent businessman unaona maupuzii ya humu.. tunakaa kimya tu.. ila watu humu washenzi sana

Aloooooooooo
 
dogo msengge sana.. anakaba hadi kivuli maskini katoto ka watu kateka ID kabadilisha password alafu kagoma kukarudishia.. kameishia kuwa kapenzi katazamaji.. Humu watu kama wanatongoza waende kivyao.. wasienze siasa chafu.. Mie sijawai date na mtu humu.. huko kitaa wadada wakali kibao.. why nije ku bet humu .. hata huyo Depal mie nimejuana nae nje ya JF ndio nikaja Jf.. sasa hawa washirikiana wanakunya kunyaa

Kivumbi Leo
[mention]TANESCO [/mention] msikate umeme jaman
 
tahira mawigi.. ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… anaomba hadi buku tatu alafu kwa mdada mwenzake.. shenzi sana mchawi kabisaa... hana aibu yule..
Wee una wazimu eeehh???? Hivi wee kichwani zimo kweli???! Ulinitaka nikakukataa nini haya makasiriko yote kunani???
Hebu kwendraaa huko na nuksiii zako za kutongoza wadada wakikukataa unawatafutia kisirani Mbona Mie sina habari nawewe muda mrefu hizo chokochoko zako unanitafutia nini???
Acha kutafuta kiki humu sina muda nawewe kenge mzee wewe mmxxxxxieeewwww!!
 
Back
Top Bottom