Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😄😄

Hahah itakuwa unachungulia kwenye pdf wew alafu kunasiku ulitaja moyo ulilipuka😀😀😀 nilikuwa somewhere nimekaa nikasema huyu kaniona nikatulia kumbe ulikuwa na storyzako tu 😂😂
😅😅😅😅 kwenye pdf moja si wamesema unakaa ............. 🤣🤣🤣🤣 hivi karibuni nakuja nililima dengua 🤣🤣
 
Aaliyah unacheka nini?? Nasikia watu wanashinda kkoo wanapita kila duka na pic yangu kunikagua khaaaaaa!!! Jf kuna vituko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nyie mie ndiye yule mama Siha aliyekua anaongea na Waziri mkuu hata msijichoshe
Kama na mimi nime_kufananisha flani hivi leo.

hope ur ok mchuchu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu nae kwa kujifanya and tender za kazi, si aliwahi nambia eti nikimaliza chuo tyuuh nimtafute ili anipe mchongo

Mengine sikumaliziii, atasanukaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JF ya motooo.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Thubutuuuuu!!! Naoga mwenge mchana kweupe!! Tender za kazi atoe wapi?? Mxxiewwww!! Awadanganye hao hao wajinga wanaoenda kupigwa kende labda [emoji2222][emoji2222][emoji2222]

Yaani anajikuta Vunja Bei kumbe Baba Levo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mission town tu mfyuuuu
 
Usimseme sweetheart wangu haishi bush ujue[emoji16]
Wee mahabhubha, mwisho wa mwezi ndo huu, na nasikia mshahara kesho unatoka.

Sasa jizime dataa, usishau maokotoo yangu, afu shem wako vipi ashakupaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom