Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na Mimi nasema, mkiniona na demu mniue😀🤣😂 National Anthem.
👉Coz iam dating my goals and life🤗🤒
Weyeeeee wasaka tu £££.... uwe na vitu vizuri
Screenshot_20230822-205943.png
 
Hahaha...............mwenzio nimeanza kuandaa mashamba mapema, hapa nasubiria mvua tu nianze kupanda 🤪
Hebu acha uwekezaji was kamari we mzee, mpaka Leo una depend Kwenye kitu usicho kuwa na uhakika Kita kuwepo???🤔.
👉 Chimba hata kisima, andaa hata mfumo- uvune hayo maji ya mvua.
👉Mvua Ni nzuri, ila Hauwezi kui limit or balance??- maji yakizidi katika mazao uta fanyaje🤔

Halafu kilimo Cha umwagiliaji, kina kupa uwanja mpana wa kuinhia mzigoni muda wowote. Grahams
👉 Endelea ku bahatisha Kama uja umia ka National Anthem aliye itegemea mbususu ya kiarabu🤣😂😂 aka Baki ana Lia Lia🤣😂😂😂
 
Hebu acha uwekezaji was kamari we mzee, mpaka Leo una depend Kwenye kitu usicho kuwa na uhakika Kita kuwepo???🤔.
👉 Chimba hata kisima, andaa hata mfumo- uvune hayo maji ya mvua.
👉Mvua Ni nzuri, ila Hauwezi kui limit or balance??- maji yakizidi katika mazao uta fanyaje🤔

Halafu kilimo Cha umwagiliaji, kina kupa uwanja mpana wa kuinhia mzigoni muda wowote. Grahams
👉 Endelea ku bahatisha Kama uja unia ka National Anthem aliye itegemea mbususu ya kiarabu🤣😂😂 aka Baki ana Lia Lia🤣😂😂😂
Natak nilime mahind Kwa kuanzia nijipime na ekari ngapi?😀
 
Back
Top Bottom