Kabisa mzee😅😅😅😅 mjerumani akosei.. kuanzia mwendo, usalama.. udambwi dambwi wa ndanii.. unaweza usitamani maliza safari kama chombo hujaizoe bado
Kabisa mzee😅😅😅😅 mjerumani akosei.. kuanzia mwendo, usalama.. udambwi dambwi wa ndanii.. unaweza usitamani maliza safari kama chombo hujaizoe bado
😅😅😅😅 maduara duara .. ni hatari.. nilikuwa na moja rangi kama hiyoo.. Dar - Dom ilikuwa masaa 4 na foleni lake.. Alafu ni cheap sana kuzihudumia.. kuliko wajerumani wengine.. wajerumani wengine wanakutoa kamasi kwenye matengezo..mzungu anataka uhisi unaendesha ndegeUkiona gari Lina nembo Hiyo ya Kama 00 lipigie salute😁.
👉Ni 🔥🔥🔥🔥🔥 National Anthem
Niliko mambo sio magumu kwenye kilimoHuu ndo ushirikina nilio mwambia Grahams au ache.
👉Tubadilike ndugu, you cannot depend on a thing which you are not directly involved in it's process.
👉Una shingapi?? (Mtaji) Ili nikupe ushauri vizuri🤒
😅😅😅😅 kuku wenyewe wamenona auNational Anthem Ume ona jumba jeusi Lina kuku😁😁
Maduara inachanganya haraka alaf iwe sedan moto wake na starehe yake mzee ni dunia nyingine kabisa😅😅😅😅 maduara duara .. ni hatari.. nilikuwa na moja rangi kama hiyoo.. Dar - Dom ilikuwa masaa 4 na foleni lake.. Alafu ni cheap sana kuzihudumia.. kuliko wajerumani wengine.. wajerumani wengine wanakutoa kamasi kwenye matengezo..mzungu anataka uhisi unaendesha ndege
View attachment 2725604
Mjep
Nasikia eti Wewe ndo ulikua ni mkubwa, ukaachika ss hivi wapo…………….!!! Km wote hiyo list inayofata mpk kufikia kwa coca





weka list hapa.Weka hiyo maduara manne, alafu niweke fuga. Alafu iwe vyovyote vile ligi road au comfortability. UtapoteanaMaduara inachanganya haraka alaf iwe sedan moto wake na starehe yake mzee ni dunia nyingine kabisa
Hiyo PDF imechorwa na mwanaume?Huo mkeka mpk na majina ya guest bubu yalikofanyika matukio yapo!! Huyo mjinga aliye publish huo mkeka kajivutia kwake eti katoka na mie![]()




Kabisabas umbea sio fani yako, woiiiih
Ya vijora
Ninacho cha Zara, Louis Vuitton, Gucci, Dior, Fend ila zote zinatoka kwa ndugu zake Jet li![]()






😅😅😅 mzungu habahatishi.. gari zake nyingi speed ni fumba na kufumbua.. maduara kwenye kukamata chini ndio ana baraaa zito kama inagundi kati yake na barabara.. tusake hela tu haina namna tusiishie kwenye mikweche kama kijana mwizi Intelligent businessmanMaduara inachanganya haraka alaf iwe sedan moto wake na starehe yake mzee ni dunia nyingine kabisa
Uduguuuu yaan achaa kabisaa,Wa vijijini tunaenjoy leo. Km namuona coca anavyosonya simu haina chaji na anatamani kuja selfika





Mdomo wote umepinda, akiona mwanga wa taa za gari anasema uwoooh![]()




uduguuu komaa wee.Una ogopa mi na mwizi mwenzagu National Anthem tuta kuja kukuibia🤣😂😂😂.Niliko mambo sio magumu kwenye kilimo
Shamba ekar had laki hats elf 80 unapata
Trekta kulim ekar 1 ni elf 40,sheli ni elf 20
Vibarua kulimia ekari 25 au unaalika watu wanalima
Mtaji sio shida sana
We tamba tu, ila nikikasirika nawaambia wezi wenzako tuje kuyaiba hayo magari😁😂🤣😅😅😅 mzungu habahatishi.. gari zake nyingi speed ni fumba na kufumbua.. maduara kwenye kukamata chini ndio ana baraaa zito kama inagundi kati yake na barabara.. tusake hela tu haina namna tusiishie kwenye mikweche kama kijana mwizi Intelligent businessman