Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😅😅😅 mzungu habahatishi.. gari zake nyingi speed ni fumba na kufumbua.. maduara kwenye kukamata chini ndio ana baraaa zito kama inagundi kati yake na barabara.. tusake hela tu haina namna tusiishie kwenye mikweche kama kijana mwizi Intelligent businessman
We tamba tu, ila nikikasirika nawaambia wezi wenzako tuje kuyaiba hayo magari😁😂🤣
👉 kina mwenyekiti wa mizagamuano Mzee wa kupambania, chambo wa chama Cha wezi Analyse, miyeyusho stow away, mpiga chaboo Poor Brain.
 
Kabisa


Nitajie tu Coca jamani
Nisipitwe na mimi
Si ndo huyo figo76
Wee hujui alikua anapora watu pesa PM, akijifanya mwanamke kumbe Dume.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kawaliza wengi mbna, ulipitwa wapi mbna alishtukiwa akaandikiwa uzi.
 
Niliko mambo sio magumu kwenye kilimo
Shamba ekar had laki hats elf 80 unapata
Trekta kulim ekar 1 ni elf 40,sheli ni elf 20
Vibarua kulimia ekari 25 au unaalika watu wanalima
Mtaji sio shida sana
Shida so Gharama nafuu, shida uhakika wa Mvua ya kutosha upo??
👉Inaeza ika nyesha mwanzoni, Baadae ika kata- halafu mazao yaka kauka🤣😂
 
Una ogopa mi na mwizi mwenzagu National Anthem tuta kuja kukuibia🤣😂😂😂.
Sera zetu 👉 panga mkononi
👉Roho begani😁😂
Haha kulima kazi 😄😄jamani
Mwaka jana nilijaribu alizet zikaota mapema zingine zikachelewa nilichanyikiwa balaa 😄😄nikarudia kupanda 😀😀kumbe zilichelewa tu nilijicheka sana
 
Back
Top Bottom