Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ukiona gari Lina nembo Hiyo ya Kama 00 lipigie salute😁.
👉Ni 🔥🔥🔥🔥🔥 National Anthem
😅😅😅😅 maduara duara .. ni hatari.. nilikuwa na moja rangi kama hiyoo.. Dar - Dom ilikuwa masaa 4 na foleni lake.. Alafu ni cheap sana kuzihudumia.. kuliko wajerumani wengine.. wajerumani wengine wanakutoa kamasi kwenye matengezo..mzungu anataka uhisi unaendesha ndege


Mjep
 
Huu ndo ushirikina nilio mwambia Grahams au ache.
👉Tubadilike ndugu, you cannot depend on a thing which you are not directly involved in it's process.
👉Una shingapi?? (Mtaji) Ili nikupe ushauri vizuri🤒
Niliko mambo sio magumu kwenye kilimo
Shamba ekar had laki hats elf 80 unapata
Trekta kulim ekar 1 ni elf 40,sheli ni elf 20
Vibarua kulimia ekari 25 au unaalika watu wanalima
Mtaji sio shida sana
 
😅😅😅😅 maduara duara .. ni hatari.. nilikuwa na moja rangi kama hiyoo.. Dar - Dom ilikuwa masaa 4 na foleni lake.. Alafu ni cheap sana kuzihudumia.. kuliko wajerumani wengine.. wajerumani wengine wanakutoa kamasi kwenye matengezo..mzungu anataka uhisi unaendesha ndege
View attachment 2725604

Mjep
Maduara inachanganya haraka alaf iwe sedan moto wake na starehe yake mzee ni dunia nyingine kabisa
 
Maduara inachanganya haraka alaf iwe sedan moto wake na starehe yake mzee ni dunia nyingine kabisa
😅😅😅 mzungu habahatishi.. gari zake nyingi speed ni fumba na kufumbua.. maduara kwenye kukamata chini ndio ana baraaa zito kama inagundi kati yake na barabara.. tusake hela tu haina namna tusiishie kwenye mikweche kama kijana mwizi Intelligent businessman
 
Niliko mambo sio magumu kwenye kilimo
Shamba ekar had laki hats elf 80 unapata
Trekta kulim ekar 1 ni elf 40,sheli ni elf 20
Vibarua kulimia ekari 25 au unaalika watu wanalima
Mtaji sio shida sana
Una ogopa mi na mwizi mwenzagu National Anthem tuta kuja kukuibia🤣😂😂😂.
Sera zetu 👉 panga mkononi
👉Roho begani😁😂
 
😅😅😅 mzungu habahatishi.. gari zake nyingi speed ni fumba na kufumbua.. maduara kwenye kukamata chini ndio ana baraaa zito kama inagundi kati yake na barabara.. tusake hela tu haina namna tusiishie kwenye mikweche kama kijana mwizi Intelligent businessman
We tamba tu, ila nikikasirika nawaambia wezi wenzako tuje kuyaiba hayo magari😁😂🤣
👉 kina mwenyekiti wa mizagamuano Mzee wa kupambania, chambo wa chama Cha wezi Analyse, miyeyusho stow away, mpiga chaboo Poor Brain.
 
Back
Top Bottom