Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

HawA ndio wachumba sasa wakufukuzia.
😅😅😅😅.. nipo nazipimiaaa hapa.. hizi LB hatari sana kuanzia utulivu wake ndani
Screenshot_20230822-210607.png
 
Hebu acha uwekezaji was kamari we mzee, mpaka Leo una depend Kwenye kitu usicho kuwa na uhakika Kita kuwepo???🤔.
👉 Chimba hata kisima, andaa hata mfumo- uvune hayo maji ya mvua.
👉Mvua Ni nzuri, ila Hauwezi kui limit or balance??- maji yakizidi katika mazao uta fanyaje🤔

Halafu kilimo Cha umwagiliaji, kina kupa uwanja mpana wa kuinhia mzigoni muda wowote. Grahams
👉 Endelea ku bahatisha Kama uja unia ka National Anthem aliye itegemea mbususu ya kiarabu🤣😂😂 aka Baki ana Lia Lia🤣😂😂😂
😅😅😅😅.. Ila nilifaidi banaaa ,
 
Halafu angalia uta kuja kuchizika kisa magari 🤣😂😂.
👉Mi nataka niwe na li big conglomerate company 💪.
👉 Niwe na charity foundation kubwa, ili niwapush majobless na watu wenye uhitaji ka Mimi🙏 National Anthem
😅😅😅 aisee kabla sijao nilikuwa napenda magari kuliko chochote.. baada ya kuoa ananza wife .. yanafata magari.. but gari zenywe mwendo ndio napenda mjerumani.. sio hawa wajapan.... umeona hii chuma
Screenshot_20230822-211340.png
Screenshot_20230822-211413.png
Screenshot_20230822-211356.png
 
Ya kula kwanza yakiwa mengi nauza
Mvuaa Ime Anza kunyesha huko??, Kama una hela, Anza hata na heka3-5.
👉Chunguza Gharama za kukodi shamba, shamba Lina rutuba ya asili??,
👉Eneo la shamba likoje??- isije mvua Kali ika beba mazao..
👉Zijue hatua zote na mahitaji yanayo hitajika, - mbolea, mbegu, vibarua. Upaliliaji.gharama za kulima Aaliyyah 😂😁🤗
 
Back
Top Bottom