National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,199
😅😅😅😅.. nipo nazipimiaaa hapa.. hizi LB hatari sana kuanzia utulivu wake ndaniHawA ndio wachumba sasa wakufukuzia.
😅😅😅😅.. nipo nazipimiaaa hapa.. hizi LB hatari sana kuanzia utulivu wake ndaniHawA ndio wachumba sasa wakufukuzia.
Halafu angalia uta kuja kuchizika kisa magari 🤣😂😂.Weyeeeee wasaka tu £££.... uwe na vitu vizuri View attachment 2725564
Kilimo gani??? Mvua au umwagiliaji??Natak nilime mahind Kwa kuanzia nijipime na ekari ngapi?😀
😅😅😅😅.. Ila nilifaidi banaaa ,Hebu acha uwekezaji was kamari we mzee, mpaka Leo una depend Kwenye kitu usicho kuwa na uhakika Kita kuwepo???🤔.
👉 Chimba hata kisima, andaa hata mfumo- uvune hayo maji ya mvua.
👉Mvua Ni nzuri, ila Hauwezi kui limit or balance??- maji yakizidi katika mazao uta fanyaje🤔
Halafu kilimo Cha umwagiliaji, kina kupa uwanja mpana wa kuinhia mzigoni muda wowote. Grahams
👉 Endelea ku bahatisha Kama uja unia ka National Anthem aliye itegemea mbususu ya kiarabu🤣😂😂 aka Baki ana Lia Lia🤣😂😂😂
MvuaKilimo gani??? Mvua au umwagiliaji??
Nakubali Kaka💪Hello Gustavo it's Tuesday.View attachment 2725577
Ya kula tu au ki biashara??Mvua
😅😅😅 aisee kabla sijao nilikuwa napenda magari kuliko chochote.. baada ya kuoa ananza wife .. yanafata magari.. but gari zenywe mwendo ndio napenda mjerumani.. sio hawa wajapan.... umeona hii chumaHalafu angalia uta kuja kuchizika kisa magari 🤣😂😂.
👉Mi nataka niwe na li big conglomerate company 💪.
👉 Niwe na charity foundation kubwa, ili niwapush majobless na watu wenye uhitaji ka Mimi🙏 National Anthem
Ya kula kwanza yakiwa mengi nauzaYa kula tu au ki biashara??
Unyama mwingi😅😅😅😅.. nipo nazipimiaaa hapa.. hizi LB hatari sana kuanzia utulivu wake ndaniView attachment 2725572
Huku ndiko maisha yaliko sasa😅😅😅 aisee kabla sijao nilikuwa napenda magari kuliko chochote.. baada ya kuoa ananza wife .. yanafata magari.. but gari zenywe mwendo ndio napenda mjerumani.. sio hawa wajapan.... umeona hii chumaView attachment 2725580View attachment 2725582View attachment 2725581
Benz hawakoseagi mzee.. na vyuma vyao ni imaraaa haswaaa. ukikaa humo unaona kama ujerumani vile 😅😅Unyama mwingi
Yaani kama unaendesha ndege vileBenz hawakoseagi mzee.. na vyuma vyao ni imaraaa haswaaa. ukikaa humo unaona kama ujerumani vile 😅😅
😅😅😅😅 mjerumani akosei.. kuanzia mwendo, usalama.. udambwi dambwi wa ndanii.. unaweza usitamani maliza safari kama chombo hujaizoe badoHuku ndiko maisha yaliko sasa
Chombo ya mzungu 👌
😅😅😅😅 hizo ndege za chiniYaani kama unaendesha ndege vile
Mvuaa Ime Anza kunyesha huko??, Kama una hela, Anza hata na heka3-5.Ya kula kwanza yakiwa mengi nauza
Ukiona gari Lina nembo Hiyo ya Kama 00 lipigie salute😁.😅😅😅 aisee kabla sijao nilikuwa napenda magari kuliko chochote.. baada ya kuoa ananza wife .. yanafata magari.. but gari zenywe mwendo ndio napenda mjerumani.. sio hawa wajapan.... umeona hii chumaView attachment 2725580View attachment 2725582View attachment 2725581
Thubutuuuuu!!! Wewe kuna siku utaniuza kwa bei sawa na bure

Huu ndo ushirikina nilio mwambia Grahams au ache.Bado next month watu waaanza kukodishq mashamba na kuandaa mwez wa11 mara nyng Huwa zinaanza mvua