Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Thubutuuuuu!!! Naoga mwenge mchana kweupe!! Tender za kazi atoe wapi?? Mxxiewwww!! Awadanganye hao hao wajinga wanaoenda kupigwa kende labda

Yaani anajikuta Vunja Bei kumbe Baba Levo Mission town tu mfyuuuu
yaan bas ukikaa vibayaa jinsi anavyokupa intro, unaweza sema nshatusua vile.

Mie nilikua namchora tyuuh, hata wazo sikua nalo.
Uduguuu taratibu nawee.
 
Heee

Akiyanani
Bora sikuona

Ningepigwa


Nikawaza kidney si figo
Ni I'd gani?nikawa sipati jibu
Yeye target yake n wanaume tyuuh, na amewaliza kwa kweliii.

kuna jamaa alitaka kumvua 300k, ila aliambulia 60k, woiiiiiih
 
Back
Top Bottom