Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,209
- 96,044
🤣🤣LODGE KIMARA BEI GANI WAKUU
KUNA LISHANGAZI HAPA LINANISUMBUA
LODGE KIMARA BEI GANI WAKUU
KUNA LISHANGAZI HAPA LINANISUMBUA



Halafu deep tuna endelea na mapigo ya kazi😂🤣🤣Hata bongo tukiamua tunafungua, tunasajiri kama Research and Logistics Company, or Fata Lab, or Water & Bridges😃
Laki na 80LODGE KIMARA BEI GANI WAKUU
KUNA LISHANGAZI HAPA LINANISUMBUA
shida nini mtu wangu, njoo pm tuyamalize




Una muogopa @mshaba_hachekwi 😂🤣🤣, Kama sio weka😂Nitaweka siku ingine mpenzi. Maalum kwa ajili yako nitakutag
Nitaweka siku ingine mpenzi. Maalum kwa ajili yako nitakutag
Ume sahau sisi ni familia🤣😂😂Umeanza??![]()
Ume sahau sisi ni familia![]()
Na vikundi vivunjwe, wajiunge vyenye faida km kausha damu, chupi mkononi ili tuwaze marejesho
Na wanaume waache kuwa nyuma ya wanawake hawa ndio tatizo kubwa humu nimeliona!! Yani mtoto wa kiume anashinda muda wote piem za dada zake kugombanisha
Na watu wazima hovyo mjifunze kukataliwa, wengine wanatishaaa jamaani khaaaaaa!!!Mungu anisamehe ila hapana ukweli tuseme mtu yupo toka enzi za TANU lkn naye hataki anajifanya rika la kina mshamba khaaaaaa!!!





uduguu mbna km unataka kuyatindinganyaa tenaa?? Hutaki Amani weyeee?kwenye hayo mambo yake ya kusave picha za watu, kusema watu sihusiki, ila nilikua najua amachokifanyaPiem unilete km swahiba ako??![]()
![]()
![]()
![]()
Thubutuuuu!!!
Muwe na vifua kaka zetu, wote tungekua mafriji hayagandishi tungewaleta watu wengi humu!! Wengine wanatuma pic zao na namba za simu kabisa lkn unamkataa kistaarabu maisha mengine yanaendelea
Hizi mambo sio nzuri kabisaa, najua wewe muelewa na sijawahi kugombana na wewe lkn mmezingua na mwenzio kipenseli
Nashangaa tu umbea mubashara kwenye PDF




watu na PDF zao mjinii.Nawee pia na maingizo mapyaa, ndo mlo letaa manjegeka humu.penseli kaleta vurugu
Na mwachiluwii pia,Na wewe swahiba wake, kwa hili mshamba huchomoki mtu wangu






nitatulia😂Nawee pia na maingizo mapyaa, ndo mlo letaa manjegeka humu.
Boraa umchanee ukwelii, tena makavu live km hiviii. WoiiiiiiiPiem unilete km swahiba ako??
Thubutuuuu!!!
Muwe na vifua kaka zetu, wote tungekua mafriji hayagandishi tungewaleta watu wengi humu!! Wengine wanatuma pic zao na namba za simu kabisa lkn unamkataa kistaarabu maisha mengine yanaendelea
Hizi mambo sio nzuri kabisaa, najua wewe muelewa na sijawahi kugombana na wewe lkn mmezingua na mwenzio kipenseli





uduguu mbna km unataka kuyatindinganyaa tenaa?? Hutaki Amani weyeee?
Crews uchwaraaa zivunjweeee.












ngoja nilewe vzr nije nikumalizie kilichotokea