Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kwenye hayo mambo yake ya kusave picha za watu, kusema watu sihusiki, ila nilikua najua amachokifanya

sema nimeshaongea nae, hatowasumbua tena.... labda aje na id nyingine

Unakumbuka kuna siku nilikwambia mna kikundi chenu cha kijinga??? Najua wewe muelewa na una adabu japo unamgomea maza kwenda church ila mdogo angu acha makando kando
 
Unakumbuka kuna siku nilikwambia mna kikundi chenu cha kijinga??? Najua wewe muelewa na una adabu japo unamgomea maza kwenda church ila mdogo angu acha makando kando
Hicho kikundi chao, yuko yeye, mwachi, na wengjneo, kuna mwenzao m1 alikujaga humu selfika kunambia, wamepanga siku kunifurumua,

nilicheka, nkamuambia had mpange siku, mje hata sahivi, kuna mwingne akawa anamstua wee unaharibu mchongoo,
Nilicheka ile siku, eti wa kunifurumua mie, ndo hawa watu? Nashangaa had leo kimyaa. Afu wenzao wawili siwaoni humu ndaniii. Lol
 
Huyo leo kasema anatumia Pepsi kushusha presha
Nimemuonea huruma kweli mpk nimempotezea asije kujinyonga bure nikabeba msalaba wake
uduguu nacheka km chizii, anajifanyaa mpanaa, akati heka heka haziweziii.
 
Udugu Amani Amani itawale
Tuungane na maaskofu tuirudishe bandari

Me humu naingia kufurahi ili nipoteze wenge la marejesho ya bank km mtu anaona navuka mipaka ya utani na kiburudisho chake aje tuyajenge, mbona me muelewa afu nakanyika bado mwali wa kizamani

Basi dadaako wakati naingia humu nakuta id za kiume zinatoa ma connection na deals zile za pesa ndefu, nikasema nilichelewa waapi?? Kumbe wanaume wenye pesa wako huku jamani mtaani wamejaa viposongo tu sura za NIPIGE TAFU nyingiii!!! Basi nikaanza kulike kwa wingi id moja ya member mmoja ya kitajiri
Hata aki-comment pumba me namwaga like najua hapa pesa ipo ngoja nilewe vzr nije nikumalizie kilichotokea
Uduguuu usimaliziee hapaaa, maliziaaa kulee wallah, natakaa kuupata huu ubuyu ukiwa vyediii.
 
Hicho kikundi chao, yuko yeye, mwachi, na wengjneo, kuna mwenzao m1 alikujaga humu selfika kunambia, wamepanga siku kunifurumua,

nilicheka, nkamuambia had mpange siku, mje hata sahivi, kuna mwingne akawa anamstua wee unaharibu mchongoo,
Nilicheka ile siku, eti wa kunifurumua mie, ndo hawa watu? Nashangaa had leo kimyaa. Afu wenzao wawili siwaoni humu ndaniii. Lol

Kipenseli ana id nyingi huyo kuna moja iko piem imejiongelesha wee me naichora tu!! Anavyoniona humu jukwaani najizima data anajua na piem atanikuta hivyo, msg moja tyr nishajua huyu Y2K sijui kaja na id nyingine kunisumbua tu!

Afu kiliacha namba zake za simu, ningekua mafia ningempa Kantri wamalizane lkn hata Kantri mwenyewe hajui km hata namba ninazo!! Nachukulia ile ki sister Marry wengine bado tuna utu na utulivu
 
Udugu Amani Amani itawale
Tuungane na maaskofu tuirudishe bandari

Me humu naingia kufurahi ili nipoteze wenge la marejesho ya bank km mtu anaona navuka mipaka ya utani na kiburudisho chake aje tuyajenge, mbona me muelewa afu nakanyika bado mwali wa kizamani

Basi dadaako wakati naingia humu nakuta id za kiume zinatoa ma connection na deals zile za pesa ndefu, nikasema nilichelewa waapi?? Kumbe wanaume wenye pesa wako huku jamani mtaani wamejaa viposongo tu sura za NIPIGE TAFU nyingiii!!! Basi nikaanza kulike kwa wingi id moja ya member mmoja ya kitajiri
Hata aki-comment pumba me namwaga like najua hapa pesa ipo ngoja nilewe vzr nije nikumalizie kilichotokea
Ukajua una piga, kumbe Ume yatimba🤣😂😂😂
 
Hicho kikundi chao, yuko yeye, mwachi, na wengjneo, kuna mwenzao m1 alikujaga humu selfika kunambia, wamepanga siku kunifurumua,

nilicheka, nkamuambia had mpange siku, mje hata sahivi, kuna mwingne akawa anamstua wee unaharibu mchongoo,
Nilicheka ile siku, eti wa kunifurumua mie, ndo hawa watu? Nashangaa had leo kimyaa. Afu wenzao wawili siwaoni humu ndaniii. Lol
Ndio hao wanaume kama mabinti? Niwekee list yao hapa wote, siku nikitoka nimevurugwa nakuja kumalizia stress kwao

Please, list majina yao hapa wote. Huu ujinga wa wanaume kuwa kama wanawake huwa unanikera sana.

Nilipanga nisiwe naingiaingia tena huku jf naona hakuna sana issues za maana, lakini hawa naomba wawe wa mwisho mimi kuhangaika nao
 
Na vikundi vivunjwe, wajiunge vyenye faida km kausha damu, chupi mkononi ili tuwaze marejesho

Na wanaume waache kuwa nyuma ya wanawake hawa ndio tatizo kubwa humu nimeliona!! Yani mtoto wa kiume anashinda muda wote piem za dada zake kugombanisha

Na watu wazima hovyo mjifunze kukataliwa, wengine wanatishaaa jamaani khaaaaaa!!! Mungu anisamehe ila hapana ukweli tuseme mtu yupo toka enzi za TANU lkn naye hataki anajifanya rika la kina mshamba khaaaaaa!!!
🤣😂😂🤔,
 
Kipenseli ana id nyingi huyo kuna moja iko piem imejiongelesha wee me naichora tu!! Anavyoniona humu jukwaani najizima data anajua na piem atanikuta hivyo, msg moja tyr nishajua huyu Y2K sijui kaja na id nyingine kunisumbua tu!

Afu kiliacha namba zake za simu, ningekua mafia ningempa Kantri wamalizane lkn hata Kantri mwenyewe hajui km hata namba ninazo!! Nachukulia ile ki sister Marry wengine bado tuna utu na utulivu
ninajua
 
Ilete hapa nisinzie vizuri mchuchu
Jf ina watu achaaa kabisa ila kuna siku nitailetea uzi hii story ya member wa jf bila kumtaja, watu wajifunze na wacheke mana lazima nimsimulie alivyo km mzungu wa kigambonIlee
 
Back
Top Bottom