Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kipenseli ana id nyingi huyo kuna moja iko piem imejiongelesha wee me naichora tu!! Anavyoniona humu jukwaani najizima data anajua na piem atanikuta hivyo, msg moja tyr nishajua huyu Y2K sijui kaja na id nyingine kunisumbua tu!

Afu kiliacha namba zake za simu, ningekua mafia ningempa Kantri wamalizane lkn hata Kantri mwenyewe hajui km hata namba ninazo!! Nachukulia ile ki sister Marry wengine bado tuna utu na utulivu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi ni hatariii tupuu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jf ina watu achaaa kabisa ila kuna siku nitailetea uzi hii story ya member wa jf bila kumtaja, watu wajifunze na wacheke mana lazima nimsimulie alivyo km mzungu wa kigamboni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu hebu weka huo uzi leo, unataka nikaukee koo kwa kuuhamu huo ubuyuuu??
 
Ndio hao wanaume kama mabinti? Niwekee list yao hapa wote, siku nikitoka nimevurugwa nakuja kumalizia stress kwao

Please, list majina yao hapa wote. Huu ujinga wa wanaume kuwa kama wanawake huwa unanikera sana.

Nilipanga nisiwe naingiaingia tena huku jf naona hakuna sana issues za maana, lakini hawa naomba wawe wa mwisho mimi kuhangaika nao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shem hebu sema kweli,
 
Napita kwa kunyata😎😎😎
cheki wabebe hawa 😅😅😅
Screenshot_20230822-082854.png
Screenshot_20230822-083525.png


Intelligent businessman
 
I was charting with my flower this night and she say this word i enter jf i see this word i remember my flower
Ur flower ts miii, yuu knou?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lugha ilikuja na meli, nliishia LA 6E.

Tunakaushana ubongo sasa, woiiiiiiih.
Mjep nipelekee kwa Ras Simba,.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ko wewe unataka kwanza wakuvuruge wengine hasira umalizie kwa wengine?? Hii kali huoni km ni dhambi?? Hapa tunakanyana huo unaoleta wewe ugomvi!!!
Kwanza ushapima?? Mana kwenye ile list kuna magonjwa sugu yapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaswende na kisonono sijaonaa mbna.
Sijapentaaaaa
 
Back
Top Bottom