Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndio hao wanaume kama mabinti? Niwekee list yao hapa wote, siku nikitoka nimevurugwa nakuja kumalizia stress kwao

Please, list majina yao hapa wote. Huu ujinga wa wanaume kuwa kama wanawake huwa unanikera sana.

Nilipanga nisiwe naingiaingia tena huku jf naona hakuna sana issues za maana, lakini hawa naomba wawe wa mwisho mimi kuhangaika nao

Ko wewe unataka kwanza wakuvuruge wengine hasira umalizie kwa wengine?? Hii kali huoni km ni dhambi?? Hapa tunakanyana huo unaoleta wewe ugomvi!!!
Kwanza ushapima?? Mana kwenye ile list kuna magonjwa sugu yapo
 
Ila mkuu tuna weza fungua kesi😁 dhidi yao, kwa kuku accuse kwa Jambo lisilo wazi😂.
👉Hi Ime kupelekea defamation ya reputation yako.
👉 National Anthem tukutanee mahakamani😂, mteja wangu mshamba_hachekwi ana taka suluhisho.
😅😅😅 Mambo haya nimewaachia, kuna wapuuzi wengi humu wasio weza ku reason. Ukija mahakani nakutupa dk ya 0.. nina screenshot za kutosha ( folder zima ). Ukicheza na fisi unaonekana na wewe fisi ujue
 
Kipenseli ana id nyingi huyo kuna moja iko piem imejiongelesha wee me naichora tu!! Anavyoniona humu jukwaani najizima data anajua na piem atanikuta hivyo, msg moja tyr nishajua huyu Y2K sijui kaja na id nyingine kunisumbua tu!

Afu kiliacha namba zake za simu, ningekua mafia ningempa Kantri wamalizane lkn hata Kantri mwenyewe hajui km hata namba ninazo!! Nachukulia ile ki sister Marry wengine bado tuna utu na utulivu
basi ni hatariii tupuu.
 
Back
Top Bottom