Kwanza hata si wa kwangu kuna mtu namuazima wake
Nilichokiona humu wengi tumeathirika na kupenda chini na upande wa privacy zero
Na humu mwanaume ukimkataa anakuundia tume na chuki juu, kuna watu hawajui kukataliwa!!! Jamani haya mambo yanaenda na kufanana tabia
Me mcharuko siwezi kupata mtu aliyepoa lazima nimpate mtu km Mpwayungu ndio tunaenda sawa, wote tumevurugwa yani