Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,773
- 11,976
Kuna nini kinaendelea huku?Namshukuru Mungu niko poa
Niambie madam
Kuna nini kinaendelea huku?Namshukuru Mungu niko poa
Niambie madam
Humu rafiki yangu hapaeleweki vizuri, story kamili unaweza kupata kwa cocastic au Cute Wife mimi nilikuta mambo yamechemkaa balaaKuna nini kinaendelea huku?
Humu rafiki yangu hapaeleweki vizuri, story kamili unaweza kupata kwa cocastic au Cute Wife mimi nilikuta mambo yamechemkaa balaa
Ila kwa ufupi inaonekana kuna member wana group zao huko pm wanawasema na kueneza mambo kwa kuwazushia baadhi ya members humu kuwa wana mahusiano au wanakulana na blaa blaa kibao
Hayo mambo yamepelekea kukosa utulivu humu ndani kiasi ambacho kimewakasirisha wajumbe kwa hiyo wamekusudia na wameanza kulipua mabomu





unayawezaaaa kwa kwelii.Kumbe, asante sana maana nilikuwa sielewi. Samahani lakini kwa usumbufu.Humu rafiki yangu hapaeleweki vizuri, story kamili unaweza kupata kwa cocastic au Cute Wife mimi nilikuta mambo yamechemkaa balaa
Ila kwa ufupi inaonekana kuna member wana group zao huko pm wanawasema na kueneza mambo kwa kuwazushia baadhi ya members humu kuwa wana mahusiano au wanakulana na blaa blaa kibao
Hayo mambo yamepelekea kukosa utulivu humu ndani kiasi ambacho kimewakasirisha wajumbe kwa hiyo wamekusudia na wameanza kulipua mabomu
National Anthem alilewa kidogo late night akaanza kulipua ameahidi leo akipiga ka ulanzi vizuri kufikia kiwango cha harmonize atatulipua mmoja baada ya mwingine ili tukae sawa na amani itawaleHumu rafiki yangu hapaeleweki vizuri, story kamili unaweza kupata kwa cocastic au Cute Wife mimi nilikuta mambo yamechemkaa balaa
Ila kwa ufupi inaonekana kuna member wana group zao huko pm wanawasema na kueneza mambo kwa kuwazushia baadhi ya members humu kuwa wana mahusiano au wanakulana na blaa blaa kibao
Hayo mambo yamepelekea kukosa utulivu humu ndani kiasi ambacho kimewakasirisha wajumbe kwa hiyo wamekusudia na wameanza kulipua mabomu
HeeUkalale sasa mlongo maana umekesha
Umenifundisha umbea nimeanza kufukuzia nyendo zako 🤣🤣🤣🤣unayawezaaaa kwa kwelii.
Figo ini ni akina nani?dada wee mtakatifuu, heka heka hazikufaii.
Kametoboa hapa hakajafumba jicho hata kidogo🤣🤣🤣Hee
Kamekesha kumbe !
Inabidi tukarudishe chuo🤣
Usijali madam namimi nimefundishwa umbeya na cocastic 🤣🤣🤣Kumbe, asante sana maana nilikuwa sielewi. Samahani lakini kwa usumbufu.
Hivi sisi nani ametusingizia Mjep?Humu rafiki yangu hapaeleweki vizuri, story kamili unaweza kupata kwa cocastic au Cute Wife mimi nilikuta mambo yamechemkaa balaa
Ila kwa ufupi inaonekana kuna member wana group zao huko pm wanawasema na kueneza mambo kwa kuwazushia baadhi ya members humu kuwa wana mahusiano au wanakulana na blaa blaa kibao
Hayo mambo yamepelekea kukosa utulivu humu ndani kiasi ambacho kimewakasirisha wajumbe kwa hiyo wamekusudia na wameanza kulipua mabomu
Waache tu mdogo wangu Mungu atawahukumuHivi sisi nani ametusingizia Mjep?
Tumuweke kwenye toba Mungu amrehemu😂😂😂
Ngoja nisomeHata mimi aisee

😂 kuna balaa humu ndani. Mimi sijisikii vizuri naingia huku nakutana na vichambo tena😂National Anthem alilewa kidogo late night akaanza kulipua ameahidi leo akipiga ka ulanzi vizuri kufikia kiwango cha harmonize atatulipua mmoja baada ya mwingine ili tukae sawa na amani itawale
Ms eyes
Wana balaaNgoja nisome
Labda ntaambulia Chochote
Ila naona nyota tu![]()
Nataka niwaombee tobaWaache tu mdogo wangu Mungu atawahukumu
Taraka hupewi shem