YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
National Anthem nimeachia piem naomba unitumie hizo file, nimalize kuzungusha vijora baadae nije niselfike na wachawi wangu wote leo
Pacha ndio naingia sasa hivi, what's wrong jamani?Unajua nini Engineer! Hawa dada zetu ni watu wa thamani sana, hili songombingo lao linawatia doa.. ujue humu kuna.michongo kibao.. unakuta mtu anapita anaona uswahili tu.. anachokaaa.. zamani ilikuwa poa sanaaa..
Cute Wife Depal Antonnia Lenie Aaliyyah cocastic .. Nuzulati Ms eyes mjue nyie ni watu powa sana.. kuna maisha baada ya chit chat.. hujui lini na wapi waweza mkuta mtu na akawa msaada kwako.. hizi mambo hapa mnazinguana hakuna ajuae kesho.. banaaa
Morning babeNational Anthem nimeachia piem naomba unitumie hizo file, nimalize kuzungusha vijora baadae nije niselfike na wachawi wangu wote leo
Nililala zanguUlilala
Mjep goodmorning, nina shida na wewe sana aisee.Insha Allah🙏
Good morning mremboMjep goodmorning, nina shida na wewe sana aisee.
Kweli umbea ni kipaji
Nasoma ila sielewi chochote




dada wee mtakatifuu, heka heka hazikufaii.Nataka niwe uncle shamte nibambie sehemu ya umate umate tu.




utakufa siku si zakooo wee.Kesho nakutumia picha ya hizo message na chart pamoja na picha.. unakataa kuwa Penseli 4 kafanya hayo.. na huyo ndio hata alisema wewe unapigwa na countri, na conutri pia kapida depal.. kesho nakurekodia au nazipiha picja maana siku hizi hazikubali screenshot
Ukalale sasa mlongo maana umekeshadada wee mtakatifuu, heka heka hazikufaii.
Shem umepania kweli yaani kama nakuona vile🤣🤣Afu hiki kipande nakihitaji maelezo yake vizuriiiiiiii!!!! Hapo ninapopigwa na Kantri kasema Penseli na Jack kasema nani?? Yaani uliweke kwa mpangilio ili nishuke nao vzr
Hata mimi aiseeKweli umbea ni kipaji
Nasoma ila sielewi chochote
Nimeamka poa , sijui wewe?Good morning mrembo
Umeamkaje?
Karibu
Uduguuu muambie Mr kahawa achanganue files vizuri, naona km anataka kutupiga chenga ya mwili,Afu hiki kipande nakihitaji maelezo yake vizuriiiiiiii!!!! Hapo ninapopigwa na Kantri kasema Penseli na Jack kasema nani?? Yaani uliweke kwa mpangilio ili nishuke nao vzr





Silaliii afu vocha atakayokupa uduguuuu, I4wadi kwangu.Ukalale sasa mlongo maana umekesha








Shem umepania kweli yaani kama nakuona vile![]()
Namshukuru Mungu niko poaNimeamka poa , sijui wewe?
Uduguuu muambie Mr kahawa achanganue files vizuri, naona km anataka kutupiga chenga ya mwili,
Mwachiluwiiii ni kidagaaa wala hana jambo lolote LA kutustuaa, awatajee mapapa bhana.
![]()
Mwachi kwanza namsikiliza piem utetezi wake, namtafutia muda kwanza nafanya maokoto ya faster ya kuja ku- bang na vigagula na mapapai leo live
Huyo nation alete file la kueleweka si kataka kurithi mikoba ya Koffi Annan afunguke sasa aeleweke lasivyo tunamkaanga mwenyewe






uduguuu wangu leo watu uko nao wima wimaa.