Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee uduguu akeeeeeee!!! Walete kati ajajajaahhh!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hao midosho wenyewe nao khaaaaaaa!! Me kwanza bado siamini yule mtu mbona sura chachu sana km kalamba unga wa misukule nyie jf kuna viumbe vya ajabu khaaaaaaaaaa!!!

Sasa hilo mitrakooo bwimbwilu linavyojiosha kumbe linapumuliwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah[emoji38][emoji1787][emoji23][emoji23]
Nyie

Tunatendeshana dhambi asbh na mapema hii

Kwani hivi mnawasema akina nani?
Hebu wekeni picha tuone
 
Unajua nini Engineer! Hawa dada zetu ni watu wa thamani sana, hili songombingo lao linawatia doa.. ujue humu kuna.michongo kibao.. unakuta mtu anapita anaona uswahili tu.. anachokaaa.. zamani ilikuwa poa sanaaa..

Cute Wife Depal Antonnia Lenie Aaliyyah cocastic .. Nuzulati Ms eyes mjue nyie ni watu powa sana.. kuna maisha baada ya chit chat.. hujui lini na wapi waweza mkuta mtu na akawa msaada kwako.. hizi mambo hapa mnazinguana hakuna ajuae kesho.. banaaa
Pacha ndio naingia sasa hivi, what's wrong jamani?
 
Kesho nakutumia picha ya hizo message na chart pamoja na picha.. unakataa kuwa Penseli 4 kafanya hayo.. na huyo ndio hata alisema wewe unapigwa na countri, na conutri pia kapida depal.. kesho nakurekodia au nazipiha picja maana siku hizi hazikubali screenshot

Afu hiki kipande nakihitaji maelezo yake vizuriiiiiiii!!!! Hapo ninapopigwa na Kantri kasema Penseli na Jack kasema nani?? Yaani uliweke kwa mpangilio ili nishuke nao vzr
 
Afu hiki kipande nakihitaji maelezo yake vizuriiiiiiii!!!! Hapo ninapopigwa na Kantri kasema Penseli na Jack kasema nani?? Yaani uliweke kwa mpangilio ili nishuke nao vzr
Uduguuu muambie Mr kahawa achanganue files vizuri, naona km anataka kutupiga chenga ya mwili,

Mwachiluwiiii ni kidagaaa wala hana jambo lolote LA kutustuaa, awatajee mapapa bhana.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom