Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Cute Wife cocastic Depal Lenie Antonnia Nuzulati Aaliyyah mjue nyoe wazuri warembo na mna akili na wewe tena kama engineer.. hamfanani na picha hili la kihindi hapa.. leo nafanya upasuaji alafu mtachagua wenyewe.. napita na mmoja baada ya mwingine.. 😬😬😬😬😬😬.. dk naaamia kwa ninae mtombear demu wake
Aunt Mimi sijawahi kuwa na ugomvi na mtu na Wala sitarajii kuwa nao sinasababu ya kugombana kama mtu alimua kunikosea Kwa hiyari yake nilishasamehe ndio maana hata sihangaiki na mtu kabisa
 
Nilikuwa kufunga mzigo sasa hapa ktk kuchat dogo akaomba nimnunulie nguo za mazoezi anitumie pesa, nikamjibu hapana potezea nitakupa km ofa tyuuu!! Na ukiangalia hiyo nguo ni km dollar 20

Sasa ile mizigo nikaiweka na ya dukani pamoja ikaenda cargo na me kwenye bags zangu nilibeba vitu muhimu tu

So nilivyofika nikaona kwann nisimchukulie za kkoo hapa chap, na nikiangalia mzigo unachelewa mpk nifanye clearing nikamuuliza nikutumie pesa au utanunua mwenyewe?? Akasema nitanunua we nitumie tyuuu!!! Ile kiurafiki kaka na dada
Nikamcheck dogo wa dukani nikampa namba akatuma 40,000 ile kapokea huyo jukwaani ooohoo Kantri ulisema cute hawez kuja mbona kaja kwangu kabla ya siku haijafika??? Dah!! Nilihuzunika nikatumia busara…….

Chino kesho ntamalizia niache kwanza huyu sitomfaidi ninavyotaka
hehehehe hallowww
Watu Kaka na dada zao mjiniiiiii.

Nacheka km mazuriiii, uwiiiiiih
 
Unataka kias gan?

Ukute nnalo mapemaa, afu wee na kidney mliishia wapiii?? Yule mjinga nlitaka kumpa hints fulan, afu ulikua wee na jamaa m1 hivi angewapiga parefuu mnoo, tungegawana mapeneeee.

JF iko mabeganiii
Kweli umbea ni kipaji

Nasoma ila sielewi chochote
 
Wee uduguu akeeeeeee!!! Walete kati ajajajaahhh!!!
Sasa hao midosho wenyewe nao khaaaaaaa!! Me kwanza bado siamini yule mtu mbona sura chachu sana km kalamba unga wa misukule nyie jf kuna viumbe vya ajabu khaaaaaaaaaa!!!

Sasa hilo mitrakooo bwimbwilu linavyojiosha kumbe linapumuliwa
Dah
Nyie

Tunatendeshana dhambi asbh na mapema hii

Kwani hivi mnawasema akina nani?
Hebu wekeni picha tuone
 
Back
Top Bottom