Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mpaka pesa unatuma mchuchu!!

Nilikuwa kufunga mzigo sasa hapa ktk kuchat dogo akaomba nimnunulie nguo za mazoezi anitumie pesa, nikamjibu hapana potezea nitakupa km ofa tyuuu!! Na ukiangalia hiyo nguo ni km dollar 20

Sasa ile mizigo nikaiweka na ya dukani pamoja ikaenda cargo na me kwenye bags zangu nilibeba vitu muhimu tu

So nilivyofika nikaona kwann nisimchukulie za kkoo hapa chap, na nikiangalia mzigo unachelewa mpk nifanye clearing nikamuuliza nikutumie pesa au utanunua mwenyewe?? Akasema nitanunua we nitumie tyuuu!!! Ile kiurafiki kaka na dada
Nikamcheck dogo wa dukani nikampa namba akatuma 40,000 ile kapokea huyo jukwaani ooohoo Kantri ulisema cute hawez kuja mbona kaja kwangu kabla ya siku haijafika??? Dah!! Nilihuzunika nikatumia busaraโ€ฆโ€ฆ.

Chino kesho ntamalizia niache kwanza huyu sitomfaidi ninavyotaka
 
Nilikuwa kufunga mzigo sasa hapa ktk kuchat dogo akaomba nimnunulie nguo za mazoezi anitumie pesa, nikamjibu hapana potezea nitakupa km ofa tyuuu!! Na ukiangalia hiyo nguo ni km dollar 20

Sasa ile mizigo nikaiweka na ya dukani pamoja ikaenda cargo na me kwenye bags zangu nilibeba vitu muhimu tu

So nilivyofika nikaona kwann nisimchukulie za kkoo hapa chap, nikamuuliza nikutumie pesa au utanunua mwenyewe?? Akasema nitanunua we nitumie tyuuu!!! Ile kiurafiki kaka na dada
Nikamcheck dogo wa dukani nikampa namba akatuma 40,000 ile kapokea huyo jukwaani ooohoo Kantri ulisema cute hawez kuja mbona kaja kwangu kabla ya siku haijafika??? Dah!! Nilihuzunika nikatumia busaraโ€ฆโ€ฆ.

Chino kesho ntamalizia niache kwanza huyu sitomfaidi ninavyotaka
usilianzishe kabla sijaamuka ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Kesho nakutumia picha ya hizo message na chart pamoja na picha.. unakataa kuwa Penseli 4 kafanya hayo.. na huyo ndio hata alisema wewe unapigwa na countri, na conutri pia kapida depal.. kesho nakurekodia au nazipiha picja maana siku hizi hazikubali screenshot

Safi sana ukiona km utatekwa nitumie ss hivi bro
 
Nilikuwa kufunga mzigo sasa hapa ktk kuchat dogo akaomba nimnunulie nguo za mazoezi anitumie pesa, nikamjibu hapana potezea nitakupa km ofa tyuuu!! Na ukiangalia hiyo nguo ni km dollar 20

Sasa ile mizigo nikaiweka na ya dukani pamoja ikaenda cargo na me kwenye bags zangu nilibeba vitu muhimu tu

So nilivyofika nikaona kwann nisimchukulie za kkoo hapa chap, nikamuuliza nikutumie pesa au utanunua mwenyewe?? Akasema nitanunua we nitumie tyuuu!!! Ile kiurafiki kaka na dada
Nikamcheck dogo wa dukani nikampa namba akatuma 40,000 ile kapokea huyo jukwaani ooohoo Kantri ulisema cute hawez kuja mbona kaja kwangu kabla ya siku haijafika??? Dah!! Nilihuzunika nikatumia busaraโ€ฆโ€ฆ.

Chino kesho ntamalizia niache kwanza huyu sitomfaidi ninavyotaka
Vita hii Ni kubwa chino siiwezi ingilia..

Kikubwaa anza kuselfisha vitu kina chino tukipenda vitu tusapport harakati za mtu mweusi.
 
Nilikuwa kufunga mzigo sasa hapa ktk kuchat dogo akaomba nimnunulie nguo za mazoezi anitumie pesa, nikamjibu hapana potezea nitakupa km ofa tyuuu!! Na ukiangalia hiyo nguo ni km dollar 20

Sasa ile mizigo nikaiweka na ya dukani pamoja ikaenda cargo na me kwenye bags zangu nilibeba vitu muhimu tu

So nilivyofika nikaona kwann nisimchukulie za kkoo hapa chap, nikamuuliza nikutumie pesa au utanunua mwenyewe?? Akasema nitanunua we nitumie tyuuu!!! Ile kiurafiki kaka na dada
Nikamcheck dogo wa dukani nikampa namba akatuma 40,000 ile kapokea huyo jukwaani ooohoo Kantri ulisema cute hawez kuja mbona kaja kwangu kabla ya siku haijafika??? Dah!! Nilihuzunika nikatumia busaraโ€ฆโ€ฆ.

Chino kesho ntamalizia niache kwanza huyu sitomfaidi ninavyotaka
Pacha hizo private issues USI reveal out Sana.
๐Ÿ‘‰Muulize kwa wem tu
 
Back
Top Bottom