Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Cute Wife cocastic Depal Lenie Antonnia Nuzulati Aaliyyah mjue nyoe wazuri warembo na mna akili na wewe tena kama engineer.. hamfanani na picha hili la kihindi hapa.. leo nafanya upasuaji alafu mtachagua wenyewe.. napita na mmoja baada ya mwingine.. 😬😬😬😬😬😬.. dk naaamia kwa ninae mtombear demu wake
Aunt Mimi sijawahi kuwa na ugomvi na mtu na Wala sitarajii kuwa nao sinasababu ya kugombana kama mtu alimua kunikosea Kwa hiyari yake nilishasamehe ndio maana hata sihangaiki na mtu kabisa
 
Nilikuwa kufunga mzigo sasa hapa ktk kuchat dogo akaomba nimnunulie nguo za mazoezi anitumie pesa, nikamjibu hapana potezea nitakupa km ofa tyuuu!! Na ukiangalia hiyo nguo ni km dollar 20

Sasa ile mizigo nikaiweka na ya dukani pamoja ikaenda cargo na me kwenye bags zangu nilibeba vitu muhimu tu

So nilivyofika nikaona kwann nisimchukulie za kkoo hapa chap, na nikiangalia mzigo unachelewa mpk nifanye clearing nikamuuliza nikutumie pesa au utanunua mwenyewe?? Akasema nitanunua we nitumie tyuuu!!! Ile kiurafiki kaka na dada
Nikamcheck dogo wa dukani nikampa namba akatuma 40,000 ile kapokea huyo jukwaani ooohoo Kantri ulisema cute hawez kuja mbona kaja kwangu kabla ya siku haijafika??? Dah!! Nilihuzunika nikatumia busara…….

Chino kesho ntamalizia niache kwanza huyu sitomfaidi ninavyotaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hehehehe hallowww
Watu Kaka na dada zao mjiniiiiii.

Nacheka km mazuriiii, uwiiiiiih
 
Dah kabla ya kuleta hapa ungeniuliz na mimi kwa upande ukapima mzani kwa namna hii unayo tumia utagombana na watu kumbe mchawi jirani yako
Mchawiii jirani yako ganiii?? Ni weweee ndo ndumila kuwiliii nani hakujuiiii?? Utuelezeee vizurii ulivyokua unaya banangaaa humu ndaniiii

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unataka kias gan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ukute nnalo mapemaa, afu wee na kidney mliishia wapiii?? Yule mjinga nlitaka kumpa hints fulan, afu ulikua wee na jamaa m1 hivi angewapiga parefuu mnoo, tungegawana mapeneeee.

JF iko mabeganiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli umbea ni kipaji

Nasoma ila sielewi chochote
 
Back
Top Bottom