Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,182
- 96,003
Simtaki huyo😃😂😂Unique Flower atashughulika na wewe
Simtaki huyo😃😂😂Unique Flower atashughulika na wewe
itafahamika tyuuuh.
tunapasua hapa.. ili tuwe na amani kama zamani warembo wetu.. sio inakuwa mnagombanishwaaa na viwanda vya uwongo.. 😬😬Wanakera sana aiseeee!!! Basi hawajui yani muda wote wanapambanisha watu sema Mwachiluwi aje atupe maelezo ya kutosha
Nasema fumua woteeeeee, kuna I'd zimejoin 2022/2023 hizi ndo zilizokuja kuharibu selfika,hapa kila giza likemewe.. na kila wanaochochea maugomvi wakemewe tunataka kijiwe chetu kiwe safii kama zamani.. banaa
ndio mtaalamu wanguSimtaki huyo😃😂😂
Was uchawi au??ndio mtaalamu wangu
Yaan huyuu alivyo tajwaaa mie roho kwatuuu, na hajatajwaa kwa bahatii mbayaaa, huyu ndo ataeleza yoteeeWanakera sana aiseeee!!! Basi hawajui yani muda wote wanapambanisha watu sema Mwachiluwi aje atupe maelezo ya kutosha








Aliingia hadi kwenye kipengele cha upcoming artist kwenye MTV MAMA, hype ya kutosha. Ila kuwa A'list Artist itabidi nitafakari kwa kinaAlisha wahi kuwa kwenye level hiyo, hukumbuki Hadi aka chukua tuzo??
👉Baadae aka achia ma hit ka ma 3.
👉Ndo team mond Waka mjaza bichwa😁
napita nazo hizo.. mie uzuri humu wote watu wangu.. napata maushahidiii mwaaa.. mtu akibisha namuambia hadi lini na mda gani na ni nani ,😅😅😅 .. sijui ugomvi na mtu.. ila hapa nasema kweli mtupu.. na kwa kumkera mtu nakibisha namtumia message za demu wake.. ndio ataelewa sitanii 🤣🤣🤣Nasema fumua woteeeeee, kuna I'd zimejoin 2022/2023 hizi ndo zilizokuja kuharibu selfika,
zaidi ya uchawiWas uchawi au??
Kafieni udzungwa mountain 😂😃zaidi ya uchawi
Insha Allah🙏Amen to that mkuu , najua dua yako itafika Ila na strategy nitaiomba muda ukifika Insha Allah 🙏🏽🙏🏽
I mean no malice to nobodyMjep Intelligent businessman na wengine. Muwe na usiku mwema, acha niangushe gari
Na Ume mpiga vijembe huko juu![]()





wapiiii hukoooNa kwako pia chiefMjep Intelligent businessman na wengine. Muwe na usiku mwema, acha niangushe gari
Ndiwoo ndiwoooo,tunapasua hapa.. ili tuwe na amani kama zamani warembo wetu.. sio inakuwa mnagombanishwaaa na viwanda vya uwongo..![]()





Shukrani mkuu 🙏🏽🙏🏽Na kwako pia chief
Mwachiluwi my bro kesho nakukaanga na km korosho za kwenu yani fanya uwahi uje unipe maelezo ya kueleweka, huwezi ukakaa unanisnitch kwa maneno ya uongo
Wewe wa kwanza![]()




uduguuu Una motoo mapema hii, tuliaaa kwaniii, mbna badooo yaan kitete usiku mnene hivi? Wee