cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,289
Oyooooooo!!
Walete wachawi, walete wachawi
Hatujamaliza tunasema, walete wachawi
Oyoyoyo![]()








Oyooooooo!!
Walete wachawi, walete wachawi
Hatujamaliza tunasema, walete wachawi
Oyoyoyo![]()








nasemaaa fumuaaaaaaaaaaaa!!!




Kweli aisee hali ya hewa imechafuka hapa uzi umekua wa hovyo kweliunajia nini Bro! zamani tulikuwa kama ndugu.. Antonnia utakuta anacheka na Depal au Lenie na cocastic yani hakukuwa na makundi.. kabisa tulikuwa hadi raha hata ukitupia vocha inakuwa rahaa.. kama family.. mambo ya uchawi na watu wachache wachache wanakuuuza mambo sana hukoo.. imekuwa ka jukwaa kakikuda kinoma kila ukoja majungu.. mie nalala nao mbele mmkoko badala ya mwingine...baana nashusha mmoja baada ya mwingine
Zisake ni Kali Sana, mi zili katika kisa ufala tu🤒Hata sikutoka jana
Letaaa vituuuuuuunajia nini Bro! zamani tulikuwa kama ndugu.. Antonnia utakuta anacheka na Depal au Lenie na cocastic yani hakukuwa na makundi.. kabisa tulikuwa hadi raha hata ukitupia vocha inakuwa rahaa.. kama family.. mambo ya uchawi na watu wachache wachache wanakuuuza mambo sana hukoo.. imekuwa ka jukwaa kakikuda kinoma kila ukoja majungu.. mie nalala nao mbele mmkoko badala ya mwingine...baana nashusha mmoja baada ya mwingine








List hujaiona?? Km namuona kesho atakavyoandika waraka wa Haman kwa wayahudi![]()






woiiiiiiiihshwari kabisa nam dongsaeng😂Hyung mambo gani haya tena![]()
Zinauzwaje chiefZisake ni Kali Sana, mi zili katika kisa ufala tu🤒
Uduguuu tulizanaaa, leo Selfika inaoshwa na kuwa mpyaaaa,Afumue tuenjoy
Nyie me niko busy kuuza vijora kumbe nilitakiwa niwe vacay na Jack NIMESHANGAA?!!!!![]()








Kweli aisee hali ya hewa imechafuka hapa uzi umekua wa hovyo kweli
Haya makundi yanaleta chuki na yanaondoa utulivu
Watu waondoe tofauti zao turudi kama zamani na majungu yaishe
Zisake ni Kali Sana, mi zili katika kisa ufala tu![]()
Uduguuu tulizanaaa, leo Selfika inaoshwa na kuwa mpyaaaa,![]()









Unajua nini Engineer! Hawa dada zetu ni watu wa thamani sana, hili songombingo lao linawatia doa.. ujue humu kuna.michongo kibao.. unakuta mtu anapita anaona uswahili tu.. anachokaaa.. zamani ilikuwa poa sanaaa..Kweli aisee hali ya hewa imechafuka hapa uzi umekua wa hovyo kweli
Haya makundi yanaleta chuki na yanaondoa utulivu
Watu waondoe tofauti zao turudi kama zamani na majungu yaishe
Letaaa list baba, tupo winja winjaa kupokeaaaaa.





, amani itawaleeee mahali hapa.National akirudi na ma snitch yanarudi mbona sielewi udugu?? National hebu fumua pale kwenye kitovu tukalale kesho lunch tuendelee![]()





naona analeta taratibuuuu, tutafikaa tyuuh hadi panapotakiwaaaa.We si ulitaka kulala wewe🤣🤣🤣Letaaa list baba, tupo winja winjaa kupokeaaaaa.
, amani itawaleeee mahali hapa.