Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

National akirudi na ma snitch yanarudi mbona sielewi udugu?? National hebu fumua pale kwenye kitovu tukalale kesho lunch tuendelee [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona analeta taratibuuuu, tutafikaa tyuuh hadi panapotakiwaaaa.

Kikubwa ukweli uwekwe wazi.
 
Unajua nini Engineer! Hawa dada zetu ni watu wa thamani sana, hili songombingo lao linawatia doa.. ujue humu kuna.michongo kibao.. unakuta mtu anapita anaona uswahili tu.. anachokaaa.. zamani ilikuwa poa sanaaa..

Cute Wife Depal Antonnia Lenie Aaliyyah cocastic .. Nuzulati Ms eyes mjue nyie ni watu powa sana.. kuna maisha baada ya chit chat.. hujui lini na wapi waweza mkuta mtu na akawa msaada kwako.. hizi mambo hapa mnazinguana hakuna ajuae kesho.. banaaa

Mbona unazunguka sana bro?? Emu twende kwenye point ya msingi chap chap tupate amani ya selfika
 
Unajua nini Engineer! Hawa dada zetu ni watu wa thamani sana, hili songombingo lao linawatia doa.. ujue humu kuna.michongo kibao.. unakuta mtu anapita anaona uswahili tu.. anachokaaa.. zamani ilikuwa poa sanaaa..

Cute Wife Depal Antonnia Lenie Aaliyyah cocastic .. Nuzulati Ms eyes mjue nyie ni watu powa sana.. kuna maisha baada ya chit chat.. hujui lini na wapi waweza mkuta mtu na akawa msaada kwako.. hizi mambo hapa mnazinguana hakuna ajuae kesho.. banaaa
Nini kifanyike? Suluhishoo litafutweee haraka iwezekanavyooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona analeta taratibuuuu, tutafikaa tyuuh hadi panapotakiwaaaa.

Kikubwa ukweli uwekwe wazi.

Yaani anakuja afu anakataa me simuelewi kabisaa bro anafail sasa?? Sijui wanamtisha??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mbona unazunguka sana bro?? Emu twende kwenye point ya msingi chap chap tupate amani ya selfika
Yaani anakuja afu anakataa me simuelewi kabisaa bro anafail sasa?? Sijui wanamtisha??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nipo slow.. nipo pia hapa napambana na manzi yangu hapa.. lol😬😬😬😬..
 
Nini kifanyike? Suluhishoo litafutweee haraka iwezekanavyooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hitimisho bado mpk aseme hilo kundi na watu wanaotupachika kwa wanaume of course km me Jack sina uhusiano naye NIMESHANGAA??? Yeye ayanwage ile ki Wagner haina kona kona unalipua baaangg tujue wachawi
 
Hitimisho bado mpk aseme hilo kundi na watu wanaotupachika kwa wanaume of course km me Jack sina uhusiano naye NIMESHANGAA??? Yeye ayanwage ile ki Wagner haina kona kona unalipua baaangg tujue wachawi
Ktk ile crew kuna pipo ni papai, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie sipati picha nayeye eti akawa anajibaraguzaa, mbna ataikimbia JF, nitashuka nae mzima mzima.

Woiiiiiiih
 
Ktk ile crew kuna pipo ni papai, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie sipati picha nayeye eti akawa anajibaraguzaa, mbna ataikimbia JF, nitashuka nae mzima mzima.

Woiiiiiiih

Me ndio nataka awalete pap bana hii crew wapo Pipo hizi hapa na walisema hivi na mabwana zenu hawa hapa afu yeye apotee atuachie kazi ma MC tuchachue shuhuli
 
Nakumbuka kipindi flani nilikuwa naenda sawa sana na thread ya usiku wa manane, ulikuwa hukosekani mkuu , nakumbuka ulikuwa kwa kina sachiko kama sijakosea 😁😁..
Kuna difference ya 6 hrs huku niliko na bongo chief
Unaweza ukadhani tuko sawa kumbe kwangu ni mchana na ndiyo ilivyo kwa member wengi hapa jf
 
Back
Top Bottom