Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mkuu hao wenzake SI unge wataja, coz naona mna peana attention ya ki jau jau.
[emoji117]Mme kua bhana, SI teenagers tena guys.
[emoji117]Kama Kuna mtu kazingua mtaje, ila kupigana vijembe nalo ni tatizo kichwani.
[emoji117]Pengine watu mna histrionic personality disorder [emoji850]
Wewe ni mmoja wao. Alafu hizi mambo nilisema niachane nazo Ila naona mnaandika sana unafki.

Acheni hizi tabia. Haya mambo mengine waachieni wanawake wayafanye. Naamini umenielewa, usitake niwape watu faida
 
Sasa mwanaume aseme Kuna watu Wana mtaka demu wake[emoji848].
[emoji117]Demu nae ana lalamika Kuna watu wanna mtaka bwana wake[emoji848].
[emoji117]For real si utoto huu, Kama hamuwezi kuwataja- kunyweni maji mlale.
Wewe na wenzio wote mna tabia za kike. Alafu unaandika unafki hapa

Naamini umeelewa
 
Wewe ni mmoja wao. Alafu hizi mambo nilisema niachane nazo Ila naona mnaandika sana unafki.

Acheni hizi tabia. Haya mambo mengine waachieni wanawake wayafanye. Naamini umenielewa, usitake niwape watu faida
Kimeumanaaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Antonnia shouzzzz ake njoo hapaaa, uduguu wetuu kakutwaa na jamboo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fanya ukujee ujioneeee manjegekaa ya Selfikaaa, woiiiiiiiii

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kivumbi leo.
 
Back
Top Bottom