Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Halafu na nyie Mana chekesha, a small damn issue ila mme weka debate ya siku 2.
👉Halafu mna disiana kuhusu kipi??, Wakati wote hapa Ni ma keyboard warriors 🤔
👉Kama ume Anza kukasirisha dunia hii ya kufikiri a, ukija dunia halisi SI ndo mta uana🤔🤐
Kwakweli ni debate 😀😀
 
Kuna mambo kwa mazingira yoyote, iwe kwenye real life au huku kwenye fake id mwanaume hapaswi kuyafanya.

Huwa nashangaa sana sijui wanaume wenzetu mnawezaje.

Ukwei kabisa wewe na wenzako mna ukike kike sana. Nilipaswa kumchana mmoja baada ya mwingine, watu wanazuia

Anyway....
Mkuu hao wenzake SI unge wataja, coz naona mna peana attention ya ki jau jau.
👉Mme kua bhana, SI teenagers tena guys.
👉Kama Kuna mtu kazingua mtaje, ila kupigana vijembe nalo ni tatizo kichwani.
👉Pengine watu mna histrionic personality disorder 🤐
 
Ni vingi vinapelekwa mpk tukaifunga piem yake!! Me naona kuna watu wanampenda Kantri wanashindwa kumwambia wanatumia maneno ya kuniponda ili wampate sijui?!!!!

Afu mbona Kantri yupo muda humu walikua hawamuoni?? Hebu Kantri njoo uwaambie me na wewe tukoje?? Maana nilikukataza usiingie huku, ila kwa hili njoo ulitolee maelezo leo tufunge mjadala
Countrywide njoo honeyyyyyy
Guys mnaohangaika niliwaambia mapema kwa mm na cute wife mtatumia nguvu nyingi but haitawezekana. Nipo hapa kurudia tena, she's mine
 
Antonnia shouzzzz ake njoo hapaaa, uduguu wetuu kakutwaa na jamboo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Fanya ukujee ujioneeee manjegekaa ya Selfikaaa, woiiiiiiiii
 
Wewe jamaa umebakiza kilomita chache sana kuvua ubingwa.

Lazima mkubali kuna mambo yanapaswa kufanywa na wanawake, wanaume haitakiwi hata kidogo. Acheni
Halafu USI mwambie bro yangu mshamba_hachekwi ana taka kuuvua ubingwa..
,👉Kwanini aSI vuliwe Dem wako anaye lalamika, the whole fucking day🤔
 
Mkuu hao wenzake SI unge wataja, coz naona mna peana attention ya ki jau jau.
Mme kua bhana, SI teenagers tena guys.
Kama Kuna mtu kazingua mtaje, ila kupigana vijembe nalo ni tatizo kichwani.
Pengine watu mna histrionic personality disorder
Wewe ni mmoja wao. Alafu hizi mambo nilisema niachane nazo Ila naona mnaandika sana unafki.

Acheni hizi tabia. Haya mambo mengine waachieni wanawake wayafanye. Naamini umenielewa, usitake niwape watu faida
 
Back
Top Bottom