Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20230819_132424.jpg
 
Hivi hujasikia kuwa Mr Vocha anatoka na St Anne kamnunulia hadi jezi!
Ni balaa na nusu mdogo wangu
Hee😂😂😂😂😂😂😂
Tena?


Hii ya lini?🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kwani nimewakataza kushabikia Liverpool?😂
Akiyanani next week nadhani nitaenda kuinunua.

Ntaitupia humu wanaokereketwa nasema na bado🤣🤣🤣🤣
 
Ase muwe mnapotezea maneno ya humu wengine tuna yasikia tuna yaacha be patient show happy siku zote ndio silaa kubwa ya adui akusemea anataka kuona ukiumia na ukija mjibu hapa anasema yah kaumia kama nilivyotaka ila usipo jibu anaumia yeye take it ni ushauri tu

Ukweli lazima tuwape watake wasitake km unaogopa ni wewe bro
 
Back
Top Bottom