Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe ni mmoja wao. Alafu hizi mambo nilisema niachane nazo Ila naona mnaandika sana unafki.

Acheni hizi tabia. Haya mambo mengine waachieni wanawake wayafanye. Naamini umenielewa, usitake niwape watu faida
Kimeumanaaaaaa!!!
 
Unafiki upi, attention seeker wewe.
Nilikuwa naku heshimu bro, ila Ume kuja na piho za kiupinde upinde.
eti Wana hangaikakwa Dem wangu, for real hebu acha uwenda wazimu
Nilikataa hivi mambo, ila naona unataka kunirudisha nyuma

Tulia, Ila nawaambia ukweli acheni hizo mambo za kike.

Sipo tena tayari kuanza malumbano humu. Ila unafki mnaoandika hapa ndio umenilazimisha niwajibu, tusiende mbali najua unajua
 
Back
Top Bottom