Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,362
@kapucino kuna mtu anaanza na m ni domo zege
Mimi sina mwezangu na kama kitu nafanya mimi hapa basi nafanya kwa maamuzi yangu ndio maana nilikwambia kama unaona mtu anakosea sehemu mfwate mwambie private na sio hadharani mbele za watu kutafuta sifa uko sio kurekebishana ni kufedheheshana mzee wewe umeona mm nakosea nifwatw niambie uamuzi uwe ni wangu kuacha au kuendeleaKuna mambo kwa mazingira yoyote, iwe kwenye real life au huku kwenye fake id mwanaume hapaswi kuyafanya.
Huwa nashangaa sana sijui wanaume wenzetu mnawezaje.
Ukwei kabisa wewe na wenzako mna ukike kike sana. Nilipaswa kumchana mmoja baada ya mwingine, watu wanazuia
Anyway....
Kwakweli ni debate 😀😀Halafu na nyie Mana chekesha, a small damn issue ila mme weka debate ya siku 2.
👉Halafu mna disiana kuhusu kipi??, Wakati wote hapa Ni ma keyboard warriors 🤔
👉Kama ume Anza kukasirisha dunia hii ya kufikiri a, ukija dunia halisi SI ndo mta uana🤔🤐
Siku hizi ujue unachelewa Sana kulala.Umechachuka sikuhizi 😂😂
Mkuu hao wenzake SI unge wataja, coz naona mna peana attention ya ki jau jau.Kuna mambo kwa mazingira yoyote, iwe kwenye real life au huku kwenye fake id mwanaume hapaswi kuyafanya.
Huwa nashangaa sana sijui wanaume wenzetu mnawezaje.
Ukwei kabisa wewe na wenzako mna ukike kike sana. Nilipaswa kumchana mmoja baada ya mwingine, watu wanazuia
Anyway....
Guys mnaohangaika niliwaambia mapema kwa mm na cute wife mtatumia nguvu nyingi but haitawezekana. Nipo hapa kurudia tena, she's mineNi vingi vinapelekwa mpk tukaifunga piem yake!! Me naona kuna watu wanampenda Kantri wanashindwa kumwambia wanatumia maneno ya kuniponda ili wampate sijui?!!!!
Afu mbona Kantri yupo muda humu walikua hawamuoni?? Hebu Kantri njoo uwaambie me na wewe tukoje?? Maana nilikukataza usiingie huku, ila kwa hili njoo ulitolee maelezo leo tufunge mjadala
Countrywide njoo honeyyyyyy [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Nimeachwa best Ilikuwa muda huu nabebika simu had inapata moto 😀😀😀sikuhiz nakesha tu Dunia Haina hurumaSiku hizi ujue unachelewa Sana kulala.
Jambo dogo, Ina kuwa Kama anthem ya taifa.Kwakweli ni debate 😀😀
HahahahaHii wiki ngumu sana humu ulinz muhimu😀
HahahahaNimeachwa best Ilikuwa muda huu nabebika simu had inapata moto 😀😀😀sikuhiz nakesha tu Dunia Haina huruma
Yaani nyie mna histrionic personality disorder,Guys mnaohangaika niliwaambia mapema kwa mm na cute wife mtatumia nguvu nyingi but haitawezekana. Nipo hapa kurudia tena, she's mine
😂😂😂😂Yaani nyie mna histrionic personality disorder,
👉Hai wanao hangaika kina nani??, Wataje Kama una hisi wapo🤔.
👉So mna zunguka Kama waimba taarabu.
Wewe jamaa umebakiza kilomita chache sana kuvua ubingwa.tulia wewe
wala hata sihusiki, nachangamsha genge tuWewe jamaa umebakiza kilomita chache sana kuvua ubingwa.
Lazima mkubali kuna mambo yanapaswa kufanywa na wanawake, wanaume haitakiwi hata kidogo. Acheni
Ntaani nchale ukirudi jf nchaleNimeachwa best Ilikuwa muda huu nabebika simu had inapata moto 😀😀😀sikuhiz nakesha tu Dunia Haina huruma
Guys mnaohangaika niliwaambia mapema kwa mm na cute wife mtatumia nguvu nyingi but haitawezekana. Nipo hapa kurudia tena, she's mine
Halafu USI mwambie bro yangu mshamba_hachekwi ana taka kuuvua ubingwa..Wewe jamaa umebakiza kilomita chache sana kuvua ubingwa.
Lazima mkubali kuna mambo yanapaswa kufanywa na wanawake, wanaume haitakiwi hata kidogo. Acheni