Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Upemecano
9aac660363e23585c9a49108c79f1c49.jpg
 
Ase muwe mnapotezea maneno ya humu wengine tuna yasikia tuna yaacha be patient show happy siku zote ndio silaa kubwa ya adui akusemea anataka kuona ukiumia na ukija mjibu hapa anasema yah kaumia kama nilivyotaka ila usipo jibu anaumia yeye take it ni ushauri tu
Kuna mambo kwa mazingira yoyote, iwe kwenye real life au huku kwenye fake id mwanaume hapaswi kuyafanya.

Huwa nashangaa sana sijui wanaume wenzetu mnawezaje.

Ukwei kabisa wewe na wenzako mna ukike kike sana. Nilipaswa kumchana mmoja baada ya mwingine, watu wanazuia

Anyway....
 
Halafu na nyie Mana chekesha, a small damn issue ila mme weka debate ya siku 2.
👉Halafu mna disiana kuhusu kipi??, Wakati wote hapa Ni ma keyboard warriors 🤔
👉Kama ume Anza kukasirisha dunia hii ya kufikiri a, ukija dunia halisi SI ndo mta uana🤔🤐
 
Kuna mambo kwa mazingira yoyote, iwe kwenye real life au huku kwenye fake id mwanaume hapaswi kuyafanya.

Huwa nashangaa sana sijui wanaume wenzetu mnawezaje.

Ukwei kabisa wewe na wenzako mna ukike kike sana. Nilipaswa kumchana mmoja baada ya mwingine, watu wanazuia

Anyway....
Mimi sina mwezangu na kama kitu nafanya mimi hapa basi nafanya kwa maamuzi yangu ndio maana nilikwambia kama unaona mtu anakosea sehemu mfwate mwambie private na sio hadharani mbele za watu kutafuta sifa uko sio kurekebishana ni kufedheheshana mzee wewe umeona mm nakosea nifwatw niambie uamuzi uwe ni wangu kuacha au kuendelea
 
Back
Top Bottom