Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna mambo kwa mazingira yoyote, iwe kwenye real life au huku kwenye fake id mwanaume hapaswi kuyafanya.

Huwa nashangaa sana sijui wanaume wenzetu mnawezaje.

Ukwei kabisa wewe na wenzako mna ukike kike sana. Nilipaswa kumchana mmoja baada ya mwingine, watu wanazuia

Anyway....
Mimi sina mwezangu na kama kitu nafanya mimi hapa basi nafanya kwa maamuzi yangu ndio maana nilikwambia kama unaona mtu anakosea sehemu mfwate mwambie private na sio hadharani mbele za watu kutafuta sifa uko sio kurekebishana ni kufedheheshana mzee wewe umeona mm nakosea nifwatw niambie uamuzi uwe ni wangu kuacha au kuendelea
 
Halafu na nyie Mana chekesha, a small damn issue ila mme weka debate ya siku 2.
👉Halafu mna disiana kuhusu kipi??, Wakati wote hapa Ni ma keyboard warriors 🤔
👉Kama ume Anza kukasirisha dunia hii ya kufikiri a, ukija dunia halisi SI ndo mta uana🤔🤐
Kwakweli ni debate 😀😀
 
Kuna mambo kwa mazingira yoyote, iwe kwenye real life au huku kwenye fake id mwanaume hapaswi kuyafanya.

Huwa nashangaa sana sijui wanaume wenzetu mnawezaje.

Ukwei kabisa wewe na wenzako mna ukike kike sana. Nilipaswa kumchana mmoja baada ya mwingine, watu wanazuia

Anyway....
Mkuu hao wenzake SI unge wataja, coz naona mna peana attention ya ki jau jau.
👉Mme kua bhana, SI teenagers tena guys.
👉Kama Kuna mtu kazingua mtaje, ila kupigana vijembe nalo ni tatizo kichwani.
👉Pengine watu mna histrionic personality disorder 🤐
 
Ni vingi vinapelekwa mpk tukaifunga piem yake!! Me naona kuna watu wanampenda Kantri wanashindwa kumwambia wanatumia maneno ya kuniponda ili wampate sijui?!!!!

Afu mbona Kantri yupo muda humu walikua hawamuoni?? Hebu Kantri njoo uwaambie me na wewe tukoje?? Maana nilikukataza usiingie huku, ila kwa hili njoo ulitolee maelezo leo tufunge mjadala
Countrywide njoo honeyyyyyy [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Guys mnaohangaika niliwaambia mapema kwa mm na cute wife mtatumia nguvu nyingi but haitawezekana. Nipo hapa kurudia tena, she's mine
 
Antonnia shouzzzz ake njoo hapaaa, uduguu wetuu kakutwaa na jamboo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Fanya ukujee ujioneeee manjegekaa ya Selfikaaa, woiiiiiiiii
 
Wewe jamaa umebakiza kilomita chache sana kuvua ubingwa.

Lazima mkubali kuna mambo yanapaswa kufanywa na wanawake, wanaume haitakiwi hata kidogo. Acheni
Halafu USI mwambie bro yangu mshamba_hachekwi ana taka kuuvua ubingwa..
,👉Kwanini aSI vuliwe Dem wako anaye lalamika, the whole fucking day🤔
 
Back
Top Bottom