Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,239
- 96,168
We nawe uwe una tuliza shisha zako, kaambiwa mwingine;such a bummer
👉Stimu Zina kupanda wewe, upemecano😁
We nawe uwe una tuliza shisha zako, kaambiwa mwingine;such a bummer
Kitengo Cha operation kipo mzee😃😁Hivi Unajua akili haija kaa sawa mpaka Sasa hivi.
Hawajanifikia ila wanaforce kunifikia
Nilichogundua hawali wakashiba





umekutwa na lipi uduguuu? Hebu nijuzeee mwenzako, wee sio wa kunificha mie.


leo bandama zangu zitapasukaaa.Kigoriii, welcome to selfika 😃😁Nakwambia simfahamu mtu humu ila wao wananifahamu mpaka figo zangu 🤷🏼♀️
Akija tu nakutagMwambie aje sasa nikiwepo![]()
sio poa unachokifanya.We nawe uwe una tuliza shisha zako, kaambiwa mwingine;
👉Stimu Zina kupanda wewe, upemecano😁
Kuna mambo kwa mazingira yoyote, iwe kwenye real life au huku kwenye fake id mwanaume hapaswi kuyafanya.Ase muwe mnapotezea maneno ya humu wengine tuna yasikia tuna yaacha be patient show happy siku zote ndio silaa kubwa ya adui akusemea anataka kuona ukiumia na ukija mjibu hapa anasema yah kaumia kama nilivyotaka ila usipo jibu anaumia yeye take it ni ushauri tu
ningesema kitu, sema fvckDalot
Hii wiki ngumu sana humu ulinz muhimu😀Tusisahau kuimalisha ulinzi ,wa Uzi
Kipi hicho nilicho fanya, na Ume tumia mzani upi kupima???sio poa unachokifanya.
Wacha weh!Mm sitaki kusikiaga habar zangu wewe kama mtu kakuambia kitu kuhusu mimi kaa nacho uko uko usiniambie kabisa mkuu afya yangu muhimu sana kuliko hao waganga njaa mkuu 🥱
Vipi cheaf sijapata vocha yako mda sana
Kuna baadhi ya vitu maabara haiwezi amuaKitengo Cha operation kipo mzee😃😁
Umechachuka sikuhizi 😂😂Kuna baadhi ya vitu maabara haiwezi amua
Mimi sina mwezangu na kama kitu nafanya mimi hapa basi nafanya kwa maamuzi yangu ndio maana nilikwambia kama unaona mtu anakosea sehemu mfwate mwambie private na sio hadharani mbele za watu kutafuta sifa uko sio kurekebishana ni kufedheheshana mzee wewe umeona mm nakosea nifwatw niambie uamuzi uwe ni wangu kuacha au kuendeleaKuna mambo kwa mazingira yoyote, iwe kwenye real life au huku kwenye fake id mwanaume hapaswi kuyafanya.
Huwa nashangaa sana sijui wanaume wenzetu mnawezaje.
Ukwei kabisa wewe na wenzako mna ukike kike sana. Nilipaswa kumchana mmoja baada ya mwingine, watu wanazuia
Anyway....