Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilikataa hivi mambo, ila naona unataka kunirudisha nyuma

Tulia, Ila nawaambia ukweli acheni hizo mambo za kike.

Sipo tena tayari kuanza malumbano humu. Ila unafki mnaoandika hapa ndio umenilazimisha niwajibu, tusiende mbali najua unajua
Sijui chochote, ume Anza kuwa diss mamen wote wa selfika Humu.
👉Eti Wana tabia za kike, hio sio nonsese bro🤔.
👉Yaani kisa mapenzi yenu, ndo ukejeli hadhira.
👉 Taratibu bro,
 
Mimi sina mwezangu na kama kitu nafanya mimi hapa basi nafanya kwa maamuzi yangu ndio maana nilikwambia kama unaona mtu anakosea sehemu mfwate mwambie private na sio hadharani mbele za watu kutafuta sifa uko sio kurekebishana ni kufedheheshana mzee wewe umeona mm nakosea nifwatw niambie uamuzi uwe ni wangu kuacha au kuendelea
Kutaka kuwapa watu faida tu, lakini naamini Kuna changes utafanya.
 
Uduguu umefikiwa na wee, mbna sitakii kuaminiii
Selfika ya motooo,

Ujinga mtupu mtu mmoja ana id lukuki mpk za kike afu muda wote kutafuta chokochoko piem za watu!!!
Afu mwenzao nawaona wapumbavu tyuuu!!!
unaweza kuona mtu anamdis coca shoga kumbe yeye ndo shoga mkuu mwenyewe woiiiiiihhh!!!
 
Sijui chochote, ume Anza kuwa diss mamen wote wa selfika Humu.
Eti Wana tabia za kike, hio sio nonsese bro.
Yaani kisa mapenzi yenu, ndo ukejeli hadhira.
Taratibu bro,
Sijasema wote, futa neno wote. Mnaofanya ukike kike mnajijua.

Kuna mambo achieni wanawake.

Nimemaliza, sitaki kudisappoint tena watu. Ila kuona mnaandika unafki ndio imefanya niwaambie hili.

Bro acheni hizi.
 
Kutaka kuwapa watu faida tu, lakini naamini Kuna changes utafanya.
Sasa hiyo sio njia ya kurekebishana kwa wanaume unakuja kunipondea mbele za mademu ili? Nichane kiume ila kama ulivyo sema kutaka kuwapa watu faida wape iyo faida huwenda watamiliki ata kiwanja goba cha mkopo
 
Ujinga mtupu mtu mmoja ana id lukuki mpk za kike afu muda wote kutafuta chokochoko piem za watu!!!
Afu mwenzao nawaona wapumbavu tyuuu!!!
unaweza kuona mtu anamdis coca shoga kumbe yeye ndo shoga mkuu mwenyewe woiiiiiihhh!!!
uduguuu nawajua kuliko wanavyojijua, cha ajabu wanapita njia yanguu
Wala hawanisumbuiii, nilichagua kuwa kimyaa nimewazidiii kwa vingiiii mnoooo.

Habari wanayooo
 
Sijasema wote, futa neno wote. Mnaofanya ukike kike mnajijua.

Kuna mambo achieni wanawake.

Nimemaliza, sitaki kudisappoint tena watu. Ila kuona mnaandika unafki ndio imefanya niwaambie hili.

Bro acheni hizi.
Au we wa kike mjuba??, Maana ujasiri wa kutukana ma men wenzio una utoa wapi???
👉Ma men tuna zingatia itifaki, so una leta pigo za kiwaki 🤔
 
Back
Top Bottom