Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Hapo umelewa ukiwa timamu utanitambulisha wiii wa JfSiwezi kabisa angaika na mtu JF.. mizigo ya kumwaga kitaa why nije ku bet humu.. izo sio akili aisee 😅😅
Hapo umelewa ukiwa timamu utanitambulisha wiii wa JfSiwezi kabisa angaika na mtu JF.. mizigo ya kumwaga kitaa why nije ku bet humu.. izo sio akili aisee 😅😅
🤭🤭🤭Jipigie makofi
🫣🫣🫣 .. sema nimezoe kutoswaa
Doto Magari hasogei hata robo shem🤣🤣🤣🤣🤣Tajiri km Tajiri huna bayaaa!!! Huko vizuri shem ndiomana coca ana kiburi cha uzima shenzy zake!!!!
![]()
Kuna watu wanajikuta jf wanaheshima kumbe ni wambea mno😬😁😁😀😀 Had Figo tena
such a bummerBeing ya figo ni 1m usd 😃😁
Wapi hana group.mnamuogopa bure ana miaka 9 wewe umempita mingapi sijui amepewaje fulsa yakucheza cheza humu . Akirudia niambie




twende shambani ukija 😊😊.. usiwe mkorofi sanaHapo umelewa ukiwa timamu utanitambulisha wiii wa Jf
Wanafki sanaKuna watu wanajikuta jf wanaheshima kumbe ni wambea mno😬😁😁
Sijaenda bado kuinunuaIvae uselfike tuone![]()
Humu jf domo zege Ni nyingi Sana. Hii ya kuibukia vivuli ndio only option.Siwezi kabisa angaika na mtu JF.. mizigo ya kumwaga kitaa why nije ku bet humu.. izo sio akili aisee 😅😅
Mm sitaki kusikiaga habar zangu wewe kama mtu kakuambia kitu kuhusu mimi kaa nacho uko uko usiniambie kabisa mkuu afya yangu muhimu sana kuliko hao waganga njaa mkuu 🥱
Vipi cheaf sijapata vocha yako mda sana



Kwa nini mtu uigize jukwaani una heshima kumbe pm ni msambaza uwongo na unafiki 😬😁😁Wanafki sana
Doto Magari hasogei hata robo shem![]()
Umetisha sana![]()



Afu shem km nakufahamu haki sio uongo?!!! Hii sura japo umeikata ni weweWapumbavu wachache wasije fanya uache kutujali majoblessJamani tuselfike
Sijaenda bado kuinunua
Vile nilivyo na kiherehere
Jana na ushindi wetu timu kubwa LFC,,ningewezaje kukaa nayo kimya bila kuitupia?
Nawaambia yaani nitaitupia.
Hapo ni moja tu,ya home
Nikipata ya away si kuna watu watajinyonga humu.
Miamala ya babe wangu nikiweka si watazimia humu...watamfuata kijana wa watu
Bahati nzuri Bado hawaelewi exactly ni nani maana wanaona nachat na kila mtu..sasa wamebaki kuguess na kukisia stori.




Bora mm najulikana omba omba kuliko nijifiche kuwa sina dhiki wakati zipo humu wananiita mzee wa kupenda kitonga nimekubaliana na hali na uzuri maboss hamniangushi ndugu zanguUnasema wenzio waganga njaa huku unaomba vocha khaaaaaa!!![]()
asante, nakupenda piaWapi hana group.mnamuogopa bure ana miaka 9 wewe umempita mingapi sijui amepewaje fulsa yakucheza cheza humu . Akirudia niambie
Na mimi nakufahamu shem 🤣🤣🤣Afu shem km nakufahamu haki sio uongo?!!! Hii sura japo umeikata ni wewe