Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ile message ya muamala wa jezi kumbe imekereketa watu

Ingekuwa tunadate ningeianika hapa?


Nyie
Msije sababisha watu tukakosa msaada humu.
Mjep amekuwa ndugu yangu
Siyo jezi tu!tangu kipindi Nimepata msiba wa baba yangu alinisapoti sana.
Bado ananisapoti mno, siwezi kuhesabu.
Mjep usiwasikilize matajiri hao
Jezi ninayo sina?

Ivae uselfike tuone
 
Pole chief ndizo habari za mjini🤣🤣🤣
Mm sitaki kusikiaga habar zangu wewe kama mtu kakuambia kitu kuhusu mimi kaa nacho uko uko usiniambie kabisa mkuu afya yangu muhimu sana kuliko hao waganga njaa mkuu 🥱

Vipi cheaf sijapata vocha yako mda sana
 
Back
Top Bottom