Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,790
Cute Wife where are you bby girl achana na mshamba_hachekwi Mjep boss mmoja hapa jf napita kama ifwatavyo
Mbona hujapita sasaCute Wife where are you bby girl achana na mshamba_hachekwi Mjep boss mmoja hapa jf napita kama ifwatavyo
😂😂😂😂 nilisau ujueMbona hujapita sasa
Umeona eh!!! Leo Yanga Hekaheka miambiliiii kidogoo!!! Tunasubiria muda kwahamuuu tuchukue ushindi wetruuui!!![]()






umelala? Au badooo?Teseka taratibuuuu uduguuu,Mimi Yanga alipo babe na me nipo
Mnyama leo anakufa mapema![]()





Watu wa Masjala tumejirisha 😀
Kuna cocastic, Kuna penseli na Kuna huyo bichwa komwe. Ni huzuni tu kwa kweli
Alafu wote ni marafiki sana. Acha tu




poleeee kwa kutesekaaa,Huyo mumeo hana mpyaa kwangu, nilimsuuza hadi akawa analia kwa modes, niondewe JF mazimaaa.Cocastic usimsingizie aliyeniharibu mpk nikawa hivi ni wewe!!! Nilikuwa binti mpole na comment vitu vzr vya kistaarabu mwenyewe.
Ukaja wewe ulikotoka ukaanza kuniponda mshamba shahidi, ukaweka muendelezo kila post yako unanikandia
Nikaona huu ujinga nikaanza na me kukera nikacheck kulia nikamkuta cocastic naye mnacharuana nikaunga ikawa sisi na wewe…
Ugomvi ukahama ukaanza mtongozo
Tukaungana tukawa wapenzi na cocastic ugomvi wenu tukaumaliza, lkn wewe unaonekana ushazoea hekaheka!!! Ss hivi umenipa umeanza jeuri nitaitoa na cocastic nitamwabia anichagulie dr mzuri wa kutoa shauri yako!




apambane na size yakee, nimeshavuka hizo levelll.Si wa kwake na matumizi yake
Umenikumbusha kuna mtu tulikuwa tunabishana alivyoona nimemshinda akaamua kuniambia ndiomana unaliwa na DC
Nikamjibu, ndio kanila we kinakuuma nini? Akasema kumbe mwana kapiga kweli?? Nikamwambia NDIO tena kote
Likabaki linacheka eti bas alifaidi, humu ukiwa na stress utakufa kuna kila aina ya watu





ndo nimechekaas hadi machoziii.Nasura mbaya kama mkate wa kijiji mie sijaona yakoSekfika maua hatujawahi kukuona emu selfika shosti![]()
Ahahhahah mmesha fanya kazi yenu sio mm😂😂Watu wa Masjala tumejirisha 😀
HB la uhakika
shem nawe unamsikiliza Kantri??? Nia yake usinipe vocha hana lolote, me nipo hapa nafaa kabisa kuwa h/girl wako, mwambie yeye atatulia na kuweka mguu juu me namfanyia kila kitu!!! Yeye kazi yake kukupa viuno vya kingoni
Afu nimekumbuka ujue mkeo hana jersey ya Simba lkn ana mdomo mrefu kuwaponda Yangafanya umnunulie





uduguuuu unaniombeaa jersey, au unaninangaaa?Ahhaha nimepita hapa sever naomb imekuwa nzito sanmuoga sa ndo nini unategea