Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Cocastic usimsingizie aliyeniharibu mpk nikawa hivi ni wewe!!! Nilikuwa binti mpole na comment vitu vzr vya kistaarabu mwenyewe.
Ukaja wewe ulikotoka ukaanza kuniponda mshamba shahidi, ukaweka muendelezo kila post yako unanikandia

Nikaona huu ujinga nikaanza na me kukera nikacheck kulia nikamkuta cocastic naye mnacharuana nikaunga ikawa sisi na wewe…
Ugomvi ukahama ukaanza mtongozo

Tukaungana tukawa wapenzi na cocastic ugomvi wenu tukaumaliza, lkn wewe unaonekana ushazoea hekaheka!!! Ss hivi umenipa umeanza jeuri nitaitoa na cocastic nitamwabia anichagulie dr mzuri wa kutoa shauri yako!
Huyo mumeo hana mpyaa kwangu, nilimsuuza hadi akawa analia kwa modes, niondewe JF mazimaaa.

apambane na size yakee, nimeshavuka hizo levelll.
Mpe salamuu.
 
Muwe na usiku mwema wana Simba wengine lolote liwakute
20230813_212840.jpg
 
Si wa kwake na matumizi yake

Umenikumbusha kuna mtu tulikuwa tunabishana alivyoona nimemshinda akaamua kuniambia ndiomana unaliwa na DC
Nikamjibu, ndio kanila we kinakuuma nini? Akasema kumbe mwana kapiga kweli?? Nikamwambia NDIO tena kote

Likabaki linacheka eti bas alifaidi, humu ukiwa na stress utakufa kuna kila aina ya watu
ndo nimechekaas hadi machoziii.
Woiiiiih
 
shem nawe unamsikiliza Kantri??? Nia yake usinipe vocha hana lolote, me nipo hapa nafaa kabisa kuwa h/girl wako, mwambie yeye atatulia na kuweka mguu juu me namfanyia kila kitu!!! Yeye kazi yake kukupa viuno vya kingoni

Afu nimekumbuka ujue mkeo hana jersey ya Simba lkn ana mdomo mrefu kuwaponda Yanga fanya umnunulie
uduguuuu unaniombeaa jersey, au unaninangaaa?
 
Back
Top Bottom