Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

nimedanganya basi
Mwone naushamba wako ulivuta bangi ukaanza kucheka ukaonyesha mali ukaanza kusema nasikia joto ukavua nguo zote ukaanza kimbia kila mahali,kuna mahali kama kichaka ukaingia kumbe ni nyumba yA kichaa maana ulikuja kwa kishindo akamka aisee alikukimbiza mpaka pale ulipovutia bangi 🤣😊😂😂
 
maake kwanza ncheke, mimi huyu huyu cute au unamsema jirani yangu???

Me mmbea wa jf sina lolote nipo kusubiri vocha za boss kubwa Mjep
Jamani hakuna anayehitaji h/girl nipige deiwaka nipate bundle la kuzurula jf kula ubuyu
Shem kama shem
Natafuta House girl naamini utanifaa

Ila ibaki tu kwamba wewe ni bonge la hustler
Mungu akubariki zaidi na biashara zako zishamiri zaidi unatupiga gepu kubwa sasa sisi waajiriwa
 
Shem kama shem
Natafuta House girl naamini utanifaa

Ila ibaki tu kwamba wewe ni bonge la hustler
Mungu akubariki zaidi na biashara zako zishamiri zaidi unatupiga gepu kubwa sasa sisi waajiriwa

shem nawe unamsikiliza Kantri??? Nia yake usinipe vocha hana lolote, me nipo hapa nafaa kabisa kuwa h/girl wako, mwambie yeye atatulia na kuweka mguu juu me namfanyia kila kitu!!! Yeye kazi yake kukupa viuno vya kingoni

Afu nimekumbuka ujue mkeo hana jersey ya Simba lkn ana mdomo mrefu kuwaponda Yanga fanya umnunulie
 
Shem kama shem
Natafuta House girl naamini utanifaa

Ila ibaki tu kwamba wewe ni bonge la hustler
Mungu akubariki zaidi na biashara zako zishamiri zaidi unatupiga gepu kubwa sasa sisi waajiriwa
Nakusalimia mtu wangu
 
Back
Top Bottom