Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umeona eh!!! Leo Yanga Hekaheka miambiliiii kidogoo!!! Tunasubiria muda kwahamuuu tuchukue ushindi wetruuui!![emoji172][emoji172][emoji169][emoji169][emoji169]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umelala? Au badooo?
 
Mimi Yanga alipo babe na me nipo [emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji169][emoji172][emoji169]
Mnyama leo anakufa mapema [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Teseka taratibuuuu uduguuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cocastic usimsingizie aliyeniharibu mpk nikawa hivi ni wewe!!! Nilikuwa binti mpole na comment vitu vzr vya kistaarabu mwenyewe.
Ukaja wewe ulikotoka ukaanza kuniponda mshamba shahidi, ukaweka muendelezo kila post yako unanikandia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nikaona huu ujinga nikaanza na me kukera nikacheck kulia nikamkuta cocastic naye mnacharuana nikaunga ikawa sisi na wewe…
Ugomvi ukahama ukaanza mtongozo [emoji23][emoji23][emoji23]

Tukaungana tukawa wapenzi na cocastic ugomvi wenu tukaumaliza, lkn wewe unaonekana ushazoea hekaheka!!! Ss hivi umenipa umeanza jeuri nitaitoa na cocastic nitamwabia anichagulie dr mzuri wa kutoa shauri yako!
Huyo mumeo hana mpyaa kwangu, nilimsuuza hadi akawa analia kwa modes, niondewe JF mazimaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] apambane na size yakee, nimeshavuka hizo levelll.
Mpe salamuu.
 
Muwe na usiku mwema wana Simba wengine lolote liwakute
20230813_212840.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Si wa kwake na matumizi yake

Umenikumbusha kuna mtu tulikuwa tunabishana alivyoona nimemshinda akaamua kuniambia ndiomana unaliwa na DC [emoji23][emoji23][emoji23]
Nikamjibu, ndio kanila we kinakuuma nini? Akasema kumbe mwana kapiga kweli?? Nikamwambia NDIO tena kote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Likabaki linacheka eti bas alifaidi, humu ukiwa na stress utakufa kuna kila aina ya watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo nimechekaas hadi machoziii.
Woiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shem nawe unamsikiliza Kantri??? Nia yake usinipe vocha hana lolote, me nipo hapa nafaa kabisa kuwa h/girl wako, mwambie yeye atatulia na kuweka mguu juu me namfanyia kila kitu!!! Yeye kazi yake kukupa viuno vya kingoni

Afu nimekumbuka ujue mkeo hana jersey ya Simba lkn ana mdomo mrefu kuwaponda Yanga [emoji23][emoji23][emoji23] fanya umnunulie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuuu unaniombeaa jersey, au unaninangaaa?
 
Back
Top Bottom