Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,090
- 95,746
Pitiaa tu mkuu🤣😂😂Napitia tu comments
Pitiaa tu mkuu🤣😂😂Napitia tu comments
Kuna cocastic, Kuna penseli na Kuna huyo bichwa komwe. Ni huzuni tu kwa kweli
Alafu wote ni marafiki sana. Acha tu
Ukimkuta mtu hana mguu na anatembelea magongo, utahitaji kuuliza kama ni mlemavu?Dah ushahidi una mkuu, coz infringement of the human rights- is a criminal offense![]()
Cocastic usimsingizie aliyeniharibu mpk nikawa hivi ni wewe!!! Nilikuwa binti mpole na comment vitu vzr vya kistaarabu mwenyewe.
Ukaja wewe ulikotoka ukaanza kuniponda mshamba shahidi, ukaweka muendelezo kila post yako unanikandia
Nikaona huu ujinga nikaanza na me kukera nikacheck kulia nikamkuta cocastic naye mnacharuana nikaunga ikawa sisi na wewe…
Ugomvi ukahama ukaanza mtongozo
Tukaungana tukawa wapenzi na cocastic ugomvi wenu tukaumaliza, lkn wewe unaonekana ushazoea hekaheka!!! Ss hivi umenipa umeanza jeuri nitaitoa na cocastic nitamwabia anichagulie dr mzuri wa kutoa shauri yako!




Kuwa wake za watu haimaanishi wanapatiaMbona hadi wake za watu wanatumia![]()
Utani upo, lakini kweli hata kama ni utani mwanaume anaweza kweli kusema anatamani kuliwa nyuma?Tatizo mnachukulia vitu serious sana, humu tuko kufurahi bana
Hilo neno pia🤒Ukimkuta mtu hana mguu na anatembelea magongo, utahitaji kuuliza kama ni mlemavu?
Mmmh zile business unazofanya kuna waajiriwa wengi sana hawawezi fika hata robo.Sasa niwaze nini jobless mie![]()
Utani upo, lakini kweli hata kama ni utani mwanaume anaweza kweli kusema anatamani kuliwa nyuma?




Si wa kwake na matumizi yake 






Mmmh zile business unazofanya kuna waajiriwa wengi sana hawawezi fika hata robo.



maake kwanza ncheke, mimi huyu huyu cute au unamsema jirani yangu???




Woteeeee🤒Kumbe uliachwa?? Mbona hujaniambia nawe pacha khaaaaaaa!! Yupi aliyekuacha sasa?![]()
Assssssaaaaannnnntttrreeeeeehhhhh!




Woteeeee![]()








Napenda sana wanawake hustlers, upo vizuri. Ni wanawake wachache sana wanaoweza kusimama wenyewe na wakafika hiyo levelmaake kwanza ncheke, mimi huyu huyu cute au unamsema jirani yangu???
Me mmbea wa jf sina lolote nipo kusubiri vocha za boss kubwa Mjep
Jamani hakuna anayehitaji h/girl nipige deiwaka nipate bundle la kuzurula jf kula ubuyu

aisee kumbe nilichelewa kidogo tu



Wewe si alikwambia zama piem ukajichelewesha