Selfika na JF: Snap it. Show it

Godown kwa kweli. .

Alafu tonnia zile chunusi ulizipata lini mbona hukusema au ni nyakiboo kumeku kondesha mpaka uso umechachuka.

Kama dekio la guest house embu ujee DSM ungae vizuri.

Yaani chunusi kama ukoko wa makande ptuu unaniangusha auntiee


๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Nimecheka sana leo ile komenti ya Jamaa kuwa mayai wamelia chips ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ!!
Hakuna kitu kinaleta faraja na furaha kama Watoto ankoo!
Na umesema kweli watoto ni baraka.

Mayai yana matumizi mazuri kweli kweli

Sema ndo hivyo tena waliopewa akili zipo kinembeni ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Nimecheka Kwan wenye chunusi mnatuonaje kwani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Trumboooo ankooo itakua ujauzito mie sinaga chunusi kabisa afu nilijua ntazaa wakiume Tena sio kwa michunusi ile Thanks God I wanted a baby Girl and he gave me an Angel kweli kweli!!!!
See you tomorrow anko wanguu urare unono!
Kesho Molla akijaalia!!
 
Trumboooo ankooo itakua ujauzito mie sinaga chunusi kabisa afu nilijua ntazaa wakiume Tena sio kwa michunusi ile Thanks God I wanted a baby Girl and he gave me an Angel kweli kweli!!!!
See you tomorrow anko wanguu urare unono!
Kesho mummy ulale unono na malaika wa ulinzi akulinde umsalimie huyo mdogo wangu wa kike alafu jina hukuniambia ujue ๐Ÿค”

Kesho nayo ni siku pumzika ๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜‡๐Ÿ’ค
 
Kesho mummy ulale unono na malaika wa ulinzi akulinde umsalimie huyo mdogo wangu wa kike alafu jina hukuniambia ujue ๐Ÿค”

Kesho nayo ni siku pumzika ๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜‡๐Ÿ’ค
Anaitwa Angel ankoo!!
Santrooo sana baraka tumezipokea!! ๐Ÿ˜˜
 
Anaitwa Angel ankoo!!
Santrooo sana baraka tumezipokea!! ๐Ÿ˜˜
Angel duuh umenikumbusha classmate wangu wa shule ya msingi alikuwa anakaa mbele yangu.

Alikuwa (mrefu, mweupe pee, na zigo)

Classmate wangu wa A level pia alikuwa mweupe pee sema alikuwa PCB jina hilo hilo angel.

Kwa kweli angel wengi niliokutana nao ni weupe.

HONGERA MUMMY ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‡
 
Uduguuuuu ndotoo nyevuuu hiyooo, kimbiaa harakaaa sanaa
 
khaaaaaah
 
Unaogopa nini na vitendea kazi vipo babuu??? Umri bado unakuruhusuuu !! Mjukuu wako tu nina 53 hapa nimebakiza kufyatua wawili watimie watano!! Wanaume hamzeeki kama sie so zaa kwaraha zakoo babuu!
Mwoga wa kusomesha kwa pension ๐Ÿคช
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ