Godown kwa kweli. .Mniwacheee na godauni languuu la kotaz kwaniii nina furaha kama zotreeee sikuhizi!!๐บ๐บ๐บ๐ค !!
Aahh nimetulia Zangu kotaz silipii Kodi wala sishtukii hataa na wala sijareeeee wala nenee ๐ค ๐ค ๐ค ๐๐!! !
Na umesema kweli watoto ni baraka.Nimecheka sana leo ile komenti ya Jamaa kuwa mayai wamelia chips ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ!!
Hakuna kitu kinaleta faraja na furaha kama Watoto ankoo!
๐๐๐Nimecheka Kwan wenye chunusi mnatuonaje kwani ๐๐๐Godown kwa kweli. .
Alafu tonnia zile chunusi ulizipata lini mbona hukusema au ni nyakiboo kumeku kondesha mpaka uso umechachuka.
Kama dekio la guest house embu ujee DSM ungae vizuri.
Yaani chunusi kama ukoko wa makande ptuu unaniangusha auntiee
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Ukiwa nyakiboo utaeleweka kuwa na chunusi.๐๐๐Nimecheka Kwan wenye chunusi mnatuonaje kwani ๐๐๐
Trumboooo ankooo itakua ujauzito mie sinaga chunusi kabisa afu nilijua ntazaa wakiume Tena sio kwa michunusi ile Thanks God I wanted a baby Girl and he gave me an Angel kweli kweli!!!!Godown kwa kweli. .
Alafu tonnia zile chunusi ulizipata lini mbona hukusema au ni nyakiboo kumeku kondesha mpaka uso umechachuka.
Kama dekio la guest house embu ujee DSM ungae vizuri.
Yaani chunusi kama ukoko wa makande ptuu unaniangusha auntiee
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Kesho mummy ulale unono na malaika wa ulinzi akulinde umsalimie huyo mdogo wangu wa kike alafu jina hukuniambia ujue ๐คTrumboooo ankooo itakua ujauzito mie sinaga chunusi kabisa afu nilijua ntazaa wakiume Tena sio kwa michunusi ile Thanks God I wanted a baby Girl and he gave me an Angel kweli kweli!!!!
See you tomorrow anko wanguu urare unono!
Anaitwa Angel ankoo!!Kesho mummy ulale unono na malaika wa ulinzi akulinde umsalimie huyo mdogo wangu wa kike alafu jina hukuniambia ujue ๐ค
Kesho nayo ni siku pumzika ๐ด๐ด๐ด๐ด๐๐ค
Angel duuh umenikumbusha classmate wangu wa shule ya msingi alikuwa anakaa mbele yangu.Anaitwa Angel ankoo!!
Santrooo sana baraka tumezipokea!! ๐
Nasemaa "ameeeeen"Wee kuna nini? Ig mbona imechachuka sana hii week kwann?? Hebu fumba macho tuombe kuna ndoa na mahusiano yanaenda kuvunjika
Uduguuuuu ndotoo nyevuuu hiyooo, kimbiaa harakaaa sanaaUdugu had Ex wangu President T na Mr MU nimewaota leo na niliwahi kuwagonganisha unaambiwa ilikuwa kivumbi!!!!! Hii ndoto sijaielewa kabisaa afu nilikuwa kwenye campaign za kumpitisha MUSO na huyo ex simjui kwenye uhalisia, namuona ndotoni
Afu eti nakaa Kingo na best angu Asnath anatoka na Prof Kinemo dah!! Hii ndoto ishindwe me hayo mazingira mbona siyajui kabisaa
!! Ukiwa tayari nistue niwabless kachanga uduguuu afu maziwa ni mengii sana hadi anapaliwa sijui nifanyeje!! Sikuhizi pozi la kuselfika sinaa uduguuu nguo inajaa maziwaa hadi zinaweka alama na tits zimejaa kama za Ng'ombe anaenyonyesha!
Trumbo sasa
Ko kunitag uliona ntafaidiiii??
Mwoga wa kusomesha kwa pension ๐คชUnaogopa nini na vitendea kazi vipo babuu??? Umri bado unakuruhusuuu !! Mjukuu wako tu nina 53 hapa nimebakiza kufyatua wawili watimie watano!! Wanaume hamzeeki kama sie so zaa kwaraha zakoo babuu!
tumekuliana Dahan ni wa Mwachiluwi ... mama yenu Depal ndio tuna ndoa ya kikatolikindoa unazo ngapi, mara depal, dahan, fifi moto, unique flower๐
Tutafunga kwa mafungu saa tisa alasiri padri Fabian Vitus